Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Nahisi harufu ya ayanda kubambikiwa mimba maskini kijana wetu.

Niambieni hajabambikwa kweli leo?
 
Tapeli Richard[emoji23][emoji23][emoji23]pesa walizompiga Zulu hawajatosheka sasa wanataka kusingizia Amandla mtoto wa.Zulu
Kwahiyo hili tapeli limerudi tena Safari hii linamtumia phindile wampige xulu pesa tena..
Hii family itafirisika hapa ndipo wanapomuhitaji Mk sasa angemaliza hili mwenyewee..
 
Leo nimeikosa imekuwaje eti nipe detail hadi za nosi wangu na mwanaharamu nombuso.

Ayanda namkubali sana
Japo sjaikutia mwanzon... ila inaonyesha phindile na richard ndio waliosuka dili kwaajili ya kumtapeli xulu na mxo.... sma kaenda kumsalimu mk katika maongezi baina yake na sma mk akatambua kua zweli yupo mafichoni anatafutwa... kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa mk akijua kua lazma atafuatwa na zweli na kweli ka alivyo fikiri ndivyo ilivyokua dili la zweli likaungua wakakutana uso kwa uso wakinyoosheana miguu ya kuku.
 
Huyu mama mswahili sana aiseeh na alivyo kibonge kakabeba kamalaya kale kama glass ya maji.
Halafu sometime anaitwa lindiwe au malindi. Why?
😁😂😅
Mi huyu mama Malindi/Mangcobo namkuta ni bonge la maliiiii... ukinipa pisi kaliii kama sma mwenye rangi yake na yule village girl yaani they dont even make an ounce kwa lile limjimama. Nalitamani sana na macho yale na wigi lake... the expression her face makes sad/happy/excited/thinking/angry is so priceless sana
 
Japo sjaikutia mwanzon... ila inaonyesha phindile na richard ndio waliosuka dili kwaajili ya kumtapeli xulu na mxo.... sma kaenda kumsalimu mk katika maongezi baina yake na sma mk akatambua kua zweli yupo mafichoni anatafutwa... kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa mk akijua kua lazma atafuatwa na zweli na kweli ka alivyo fikiri ndivyo ilivyokua dili la zweli likaungua wakakutana uso kwa uso wakinyoosheana miguu ya kuku.
Huyu sma nae anamchoma kaka yake kisa mpenzi tu
Mk yuko mtaani sio baada ya kesi yake kuvunjwa?..
Richard na phindile kweli ni majambazi kwanini dhlomo asiyadake?
 
Japo sjaikutia mwanzon... ila inaonyesha phindile na richard ndio waliosuka dili kwaajili ya kumtapeli xulu na mxo.... sma kaenda kumsalimu mk katika maongezi baina yake na sma mk akatambua kua zweli yupo mafichoni anatafutwa... kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa mk akijua kua lazma atafuatwa na zweli na kweli ka alivyo fikiri ndivyo ilivyokua dili la zweli likaungua wakakutana uso kwa uso wakinyoosheana miguu ya kuku.
 
😁😂😅
Mi huyu mama Malindi/Mangcobo namkuta ni bonge la maliiiii... ukinipa pisi kaliii kama sma mwenye rangi yake na yule village girl yaani they dont even make an ounce kwa lile limjimama. Nalitamani sana na macho yale na wigi lake... the expression her face makes sad/happy/excited/thinking/angry is so priceless sana
Mkuu wewe utachukua huyo kwanzia sasa maana yuko singo kwa kweli yule mama anajiweza juu chini xulu alifaidi sana.. Kingine ulichokipendea nimeshakijua mkuu sitasema. 😀😀😀

Mimi niko singo kwa sasa wamenivuruga hawa malaya wote nombu, sma, nosipho 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
 
😁😂😅
Mi huyu mama Malindi/Mangcobo namkuta ni bonge la maliiiii... ukinipa pisi kaliii kama sma mwenye rangi yake na yule village girl yaani they dont even make an ounce kwa lile limjimama. Nalitamani sana na macho yale na wigi lake... the expression her face makes sad/happy/excited/thinking/angry is so priceless sana
Halafu mkuu nakuona umeweka dp ya mzee Mafia Lincoln sibeko bila shaka umekumbuka drama zake huyu mzee 😀😀
 
Huyu sma nae anamchoma kaka yake kisa mpenzi tu
Mk yuko mtaani sio baada ya kesi yake kuvunjwa?..
Richard na phindile kweli ni majambazi kwanini dhlomo asiyadake?
mk bado yupo hospital... bado anapatiwa matibabu... sma kwenye mapenzi kaingia mzima mzima hivyo lazma awe zoba tu
dhlomo bado yupo bize na kumtafta zweli na kesi yao ila ni swala la mda tu ngoja tuone
 
Mkuu wewe utachukua huyo kwanzia sasa maana yuko singo kwa kweli yule mama anajiweza juu chini xulu alifaidi sana.. Kingine ulichokipendea nimeshakijua mkuu sitasema. 😀😀😀

Mimi niko singo kwa sasa wamenivuruga hawa malaya wote nombu, sma, nosipho 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Kiseme tu man😁😂😅 kama ni hela, suala la umariooo you are wrong. Nna pesa zangu ata kama hazitoshi kwenye glass yake ya wine, mimi ni mwanaume wa kiafrica haswa i provide for a woman i fall for. Lile jike is something else kwakweli, mimi iko penda sana ilo
 
Halafu mkuu nakuona umeweka dp ya mzee Mafia Lincoln sibeko bila shaka umekumbuka drama zake huyu mzee 😀😀

Yeah man. Sibeko ni noma sana. Do you remember alivyokua anadeal na kina Zamdela na Barker? Or the stunt he pulled to win Lungi Biyera? daaah alikuwa mogul haswa. Sibeko Aende Hollywood basi😁
 
Yeah man. Sibeko ni noma sana. Do you remember alivyokua anadeal na kina Zamdela na Barker? Or the stunt he pulled to win Lungi Biyera? daaah alikuwa mogul haswa. Sibeko Aende Hollywood basi😁
Nina alikuwa akiskia sibeko anatetemeka sana, mzee huyu alikuwa anajua unyama na akili kubwa vile vile.

Siku ile alikuja na helicopter kumchukua lungi dadeki pisi gani itachomoa mkuu wangu?

Umesema kweli Lincoln alifaa kwenda Hollywood huko anajua kucheza ki mogul mpaka basi na anaonekana elimu ipo kichwani maana alikuwa anatema madini ya biashara kwa wanae ntando na nikiwe nomaaa.
 
Kiseme tu man😁😂😅 kama ni hela, suala la umariooo you are wrong. Nna pesa zangu ata kama hazitoshi kwenye glass yake ya wine, mimi ni mwanaume wa kiafrica haswa i provide for a woman i fall for. Lile jike is something else kwakweli, mimi iko penda sana ilo
Ni tako mkuu, ni ile chura aka kibindankoi.. 😀😀
 
mk bado yupo hospital... bado anapatiwa matibabu... sma kwenye mapenzi kaingia mzima mzima hivyo lazma awe zoba tu
dhlomo bado yupo bize na kumtafta zweli na kesi yao ila ni swala la mda tu ngoja tuone
Sma nae asilaumiwe unadhani kukojozwa mchezo nini?
 
Back
Top Bottom