Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #41
Huyu dogo namuonaga kama fala kumbe huko jozi alikuwa na kazi kabisa akaacha etiMxolisi naye hovyo tu badala aenda zake jozi ila kabaki kurumbana na dingi yake tu.
natumai ushapata details zote mkuu.Jitahid usikose leoLeo sikosi aiseeh Wale waliosema ni mbaya tutawaona tu mbele
Pastor alikuwa kamaind ata pale anavyopokea pesa za xulu alionekana
Inawezekana sbu karudi jela
shukran mkuu kwa updatesMchungaji amefedheheka lakini mke wake[Mama mchungaji] wakiwa wamebaki peke yao kanisani amemshauri mme wake kuchukua zile pesa kwaajili ya mazishi ya yule binti [sindi].
Mxolisi Kama kawaida ugomvi na dingi yake haujaisha.
Ayanda yeye na mishe zake za U-DJ tu.
Mastermind baada ya kumwambia bosi wake [xulu] kuwa anajua alipo sbu sasa ameamu kwenda mastermind mwenyewe kumkamata Kama si kumuua lakini bahati mbaya baada ya mastermind kufika pale anayemkuta si sbu bali jamaa mwingine kabisa,akajalibu kupiga simu ya sbu lkn ikaiita mfukoni mwa jamaa.
Mwishoni inaonekana Kuna Jamaa mmoja mfungwa anapiga simu kutokea gerezani kwa kutumia simu ya gereza inaunganishwa Moja kwa Moja kuelekea kwa xulu,xulu akiwa kitandani anaipokea,Jamaa aongei dakika Moja mbele jamaa anakata simu.
hahaa kweli anaboa...na kunaiyo angalia yake ya hasira anavyoweka ayo macho sasa kha!utazan anakata rohoMxolisi ananiuzi kufunga kifungo mpaka cha juu kΓ‘bisa cha shati hiyo style kwangu ni ya kizee na mtu formal hadi anabore..au siriaz kupita kiasi..kwani angekifungua inamkost nn unakuta linakula kifungo kimefungwa kana kwamba atavaa tai juu...so bored
Kama anataka kupigana vilehahaa kweli anaboa...na kunaiyo angalia yake ya hasira anavyoweka ayo macho sasa kha!utazan anakata roho
kabisaa yanii πKama anataka kupigana vile
Much know sana huyukabisaa yanii π
mxolisi acha tuone mwisho wa kiburi na ujuaji wake...mxolisi character yake inaboa yaani
Kila mara kuharibu mood za wenzie halafu ujuaji mwingi,
Anabishana na pesa zilizomlea anazoziita illegal..!
Pastor ni mtu mmoja makini sana, yuko straight yaani
Master and xulu wameyamaliza sasa acha tuone
Sema mabuza nalikubali sana linavyomshikilia dhlomo hadi anapata hasira.. Akiwa na captain...
Nilicheka pale pastor alipowekewa headphones kusikiliza kazi ya ayandaπππ
sindio yaani yupo kama anataka kuibeba familia na kuiongoza wakati hana chochoteMuch know sana huyu
Mbona mwenzie ayanda mshikaji fresh sana yuko bize na muziki
ndio anapokosea anataka kuwa kichwa cha familia wakati baba yake bado ana nguvu kabisasindio yaani yupo kama anataka kuibeba familia na kuiongoza wakati hana chochote
pastor alipata vibe na mapbone yale sauti liikuwa juumxolisi acha tuone mwisho wa kiburi na ujuaji wake...
mabuza kweli kama kukaba anakaba haswaaa...pale kwa pastor π€£π€£jamani...pastor naye yumooπ
ndio,hivyo pia inatokana na malezi lakini kwake imekua too much maana mdogo wake yule anaelewa tu kua familia yake inafanya biashara yenye magendo ndani yake lakini anaamua kufata mambo yake...ambayo kwa kaka yake ni tofautindio anapokosea anataka kuwa kichwa cha familia wakati baba yake bado ana nguvu kabisa
Sometime naona anam disrespect xulu mbele ya mkewe sema xulu kawadekeza wanae anakausha tu..
Mtu mwenyewe hajui hata mambo lazima yaende kinyama
apo kwa pastor asiposoma izo paper akiwa hapo home sidhani kama atapata chance tena,ayanda kiukweli anawapenda wazazi wake japo mama amekua na nongwa sana kwake...na inaonyesha mama hajali ndoto ya mtoto wakepastor alipata vibe na mapbone yale sauti liikuwa juu
Ayanda ni kama ana kiburi lakini sio, jamaa ni kama anataka kutimiza ndoto zake na anapenda wazazi wake wafurahi hasa mshua wake ndio maana jana akakubali kwenda kwenye mazishi.. Ila sijui ukweli pastor atasoma zile paper ajue?
pastor ilo bifu lake na xulu limeibuka kama mzimu...Pastor anajiingiza kwenye bifu lisilomuhusu... Lile jicho lake alipokuwa anamuangalia xulu dah noma..
Sema pastor licha ya dhlomo kukiri kwamba yeye pia anahusika kwenye drama hii sababu ya kumuweka sbu amchunguze bosi wake, lakini pastor kamkomalia xulu, tena wamepigana mikwara mizito xulu asiende church na pastor asikanyage ofisni kwa xulu ππ
Ayanda ameanza kutoboa taratibu, mama yake sasa ataanza kuheshimu kazi ya mwanae,,
Mama pastor mbea akataka kufungua zile paper azione Angezimia mbona?π
Mxolisi ana dharau sana yaani jinsi alivyomuangalia babaake na macho yake yalivyo mabaya...anaboa
Pastor na xulu kwa sasa tukae humo.
Sema hapa nawakubali wote pastor na xulu sichagui upande hapa
Soon ayanda atamla nkule maana alivyombeba beba pale πππpastor ilo bifu lake na xulu limeibuka kama mzimu...
kwa mdogo wake mxolisi nafurahi kumwona kafarijika na kutoka kwenye uwoga na dimbwi la mawazo..(ambapo mama yake alionyesha kutokujali hilo.)
natamani ayanda azidi kusonga kwa kasii ili maza aone jinsi gani hakuwa sahihi kwa kumzinga zinga asitimize ndoto zake
hahaha ngoja tusubiri manyoya tu maana si kwa ukaribu huo..Soon ayanda atamla nkule maana alivyombeba beba pale πππ
Hii ishu naona pastor kavamia kwa maslahi ya kanisa lake.. Kanisa lenyewe hata halijaagi