Pastor anajiingiza kwenye bifu lisilomuhusu... Lile jicho lake alipokuwa anamuangalia xulu dah noma..
Sema pastor licha ya dhlomo kukiri kwamba yeye pia anahusika kwenye drama hii sababu ya kumuweka sbu amchunguze bosi wake, lakini pastor kamkomalia xulu, tena wamepigana mikwara mizito xulu asiende church na pastor asikanyage ofisni kwa xulu 😁😁
Ayanda ameanza kutoboa taratibu, mama yake sasa ataanza kuheshimu kazi ya mwanae,,
Mama pastor mbea akataka kufungua zile paper azione Angezimia mbona?😁
Mxolisi ana dharau sana yaani jinsi alivyomuangalia babaake na macho yake yalivyo mabaya...anaboa
Pastor na xulu kwa sasa tukae humo.
Sema hapa nawakubali wote pastor na xulu sichagui upande hapa