Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Watagombana na Zulu?ANAKUJA KUWA NA KIKUNDI CHACKE CHA KIMFYA EPSODI ZA MBELE HUKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watagombana na Zulu?ANAKUJA KUWA NA KIKUNDI CHACKE CHA KIMFYA EPSODI ZA MBELE HUKO
Mbona walishanyaduana kitambo mkuu, sema tu siku wakijua ukweli ndo itabaki siri yaoInapoelekea naona kama Ayanda na Nosipho watanyanduana bila kujua kama ni kaka na dada hapo ndipo Mangcobo ataumbuka kwa kuficha ukweli
Yah kipindi kile walikua wananyanduana kwenye ofisi ya kanisa kabla Nombuso hajafa,Ayanda alikua akizinguana na Nombuso,Nosipho anakuja kumpoza japokua walikua wanafanya kwa siri ila Inapoelekea watu watajua tu ndo itakua aibu kwa Mangcobo hahaMbona walishanyaduana kitambo mkuu, sema tu siku wakijua ukweli ndo itabaki siri yao
Atajuta kubadilisha majibu ya DNAMimi nahisi Noph anaweza kupata mimba
Hiyo ndio itamtia uchizi mama ake
huyu mama mjinga sana nilikuwaga namuona ana akiliMimi nahisi Noph anaweza kupata mimba
Hiyo ndio itamtia uchizi mama ake
Si ndio demu wakowakuu leo nimeiwahi week lote mambo yalibana ,
nimeona zweli kaingia home kwa xulu anatafuta kile kitabu cheusi
halafu naona ishajulikana na xulu kuwa ayanda ni mwanae?
sema ninachoona zweli anajipoteza
mangcobo saivi kawa jinga sana
halafu yule mdada alieibiwaga gari na kina nosipho naona anadai hela kwa mabuza
nospho malaya ila.nyie walah simtaki
Nishamchukiahuyu mama mjinga sana nilikuwaga namuona ana akili
demu gani malaya malaya huyu hajui kukataa?Si ndio demu wako
Ooh demu wangu hips don't lie
Haya endelea[emoji23]
hawa wazulu wanaume wana chura nyie kuzidi hata mademu khaaaNishamchukia
Tako la mabuza umelisahauhawa wazulu wanaume wana chura nyie kuzidi hata mademu khaaa
zweli ana takoo hiloo
Mademu wako hawajielewidemu gani malaya malaya huyu hajui kukataa?
mbona na wewe tukamwambie malindi mumewe umemuweka kwapani?[emoji23][emoji23]
niacheni na demu wangu[emoji23][emoji23]
mabuza sababu ni mnene pia hata kutembea haweziTako la mabuza umelisahau
Kwendaa 😁😁😁Mademu wako hawajielewi
Sma na spho[emoji23]
Vera nimekupenda sana cause look like wivu wako is so feminine... i like that character in a girl i love. Kale ka Nospho cjawahi ku crush kabisa ila Sma ananitiaga majaribuni everytime hasa nikiona magoti yake dah ni so soft and pure🤩😋Si ndio demu wako
Ooh demu wangu hips don't lie
Haya endelea[emoji23]
Jmn[emoji23]Vera nimekupenda sana cause look like wivu wako is so feminine... i like that character in a girl i love. Kale ka Nospho cjawahi ku crush kabisa ila Sma ananitiaga majaribuni everytime hasa nikiona magoti yake dah ni so soft and pure[emoji2956][emoji39]
Mke ya xulu ile pisi ni very hot alafu xulu anampenda mno. Ni vile imezingua big time inavyohandle issue ya vijana wale(DNA)
Pancholi, jembe letu Mabuza limekwisha au litachomoka mtego wa Dhlomo? Jamaa ni kichwa... chawa la faida kwa Xulu