Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #861
Mkuu mbona pisi zangu unazitaka?😀Vera nimekupenda sana cause look like wivu wako is so feminine... i like that character in a girl i love. Kale ka Nospho cjawahi ku crush kabisa ila Sma ananitiaga majaribuni everytime hasa nikiona magoti yake dah ni so soft and pure🤩😋
Mke ya xulu ile pisi ni very hot alafu xulu anampenda mno. Ni vile imezingua big time inavyohandle issue ya vijana wale(DNA)
Pancholi, jembe letu Mabuza limekwisha au litachomoka mtego wa Dhlomo? Jamaa ni kichwa... chawa la faida kwa Xulu
Mkuu mbona pisi zangu unazitaka?😀
Mabuza hawezi kwama kabisa naliamini jembe lile Just wait and see
hivi ujue nilicheki episode ya jana tu hivi kuna sehemu zilipigwa ngumi?Ha ha ha!
Man, pisi zako kaa nazo tu🤣🤩 ni vile imebidi nimsifie yule Sma kidogo tuuu Papi! Mi nataka kupimana ubavu na monster himself Mr. Xulu over lile jimama lake so mniombeee😆😆😅
Jembe letu Mabuza ngoja tuone litafanya manuva gani kusave his own skin wakati limesharekodiwa na hadi captain kaona footage.
Xulu anapiga ngumi za kilo kilo hatar!
mwengine huyu na pastor yupo singo ujue tushapata mama mchungaji hapa 😁😁Juzi bana nikajikuta naangalia hiyo tamthilia..Kuna kiumbe chenye Rasta mule sijakielewa ni jinsia gani mwenzenu ..😂
Pastor🔥🔥
Hapana hajakamatwakwa mliocheki leo jamani any update?
Zweli alikamatwa?
eeeh kapigwa na nani mbona maelezo mafupi mywangu 😀Hapana hajakamatwa
Ametoroka bila kuonekana,lkn Ayanda kapewa kipigo cha mbwa koko
Kapigwa na ghabashe mxolis yaan wamemchangia mama ghabashe kwa unafiki anamtete nahsi next epsod wananchi watafanya vurugu home kwa ghabashe maana watakuwa na hasira na familia hyoeeeh kapigwa na nani mbona maelezo mafupi mywangu 😀
Pia namuona mama ghabashe kama yuko tayari kumkiri Ayanda maana naona anamtetea kwa nguvu nyingi.Kapigwa na ghabashe mxolis yaan wamemchangia mama ghabashe kwa unafiki anamtete nahsi next epsod wananchi watafanya vurugu home kwa ghabashe maana watakuwa na hasira na familia hyo
Zweli na nosipho watawekwa ndan
Mxo na zulu wamemchangiaeeeh kapigwa na nani mbona maelezo mafupi mywangu [emoji3]
Nadhani ni leo usiku kuanzia mida ya saa 4 anza kufatilia kama bado unangoja 4.30,jipe nusu saa unakuwa unacheck km imeanzaHii tamthilia kwa usiku jumapili marudio yake yanaanza saa ngapi?
Anaumia coz anajua ukweli sema ndio vile ashamzoea mxoPia namuona mama ghabashe kama yuko tayari kumkiri Ayanda maana naona anamtetea kwa nguvu nyingi.
Xulu alishasema atakwenda kummaliza Ayanda.
Yule jamaa walisema anaitwa sijui njorebe?.Mxo na zulu wamemchangia
Maana aliingia kwa kutaka kugombana baada ya yule baba kanisani kusema wife wake mimba imetoka
Ndio zweli nae akapata chance ya kutorokea dirishani
Aaah sawa sawa kumbe ni jumamosi mi nikajua ni jumapiliNadhani ni leo usiku kuanzia mida ya saa 4 anza kufatilia kama bado unangoja 4.30,jipe nusu saa unakuwa unacheck km imeanza
jumapili ipo asubuhi piaAaah sawa sawa kumbe ni jumamosi mi nikajua ni jumapili
Lakini na Zweli alimpelekea message Ayanda aje kumsaidia pale alipojificha ndani ya kabati akawa anashindwa kutoka.Mxo na zulu wamemchangia
Maana aliingia kwa kutaka kugombana baada ya yule baba kanisani kusema wife wake mimba imetoka
Ndio zweli nae akapata chance ya kutorokea dirishani