AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
huyu pimbi ayanda anataka amuangushe xulu ili jamii imuone shujaa pia alipize kisasi cha baba yake hajui wala kujali kuhusu effect atakazopata zweli kumsnitch bosi wake.Ha ha ha quote that "MKUDA"π π kwa kweli Dhlomo is a bad ass atleast ange-strike deal na Zweli/kumu-assure. basi nimemchukia kama nini.
Zweli ameharibu kuacha feelings to get the best of him akageuka snitch ame-lag sana.., It was business not personal the biz that used to put food to his people's table as well. I stand with Xulu in contrast to Zweli and Ayanda. Yule ayanda kumbe ni selfish kaniudhi sana alivyomfanyia Zweli. Ayanda is a scoundrel bora alivyochezea vitasa vya
xulu kiazi yuleπ π
Nakuzoom tu.... π§huyu pimbi ayanda anataka amuangushe xulu ili jamii imuone shujaa pia alipize kisasi cha baba yake hajui wala kujali kuhusu effect atakazopata zweli kumsnitch bosi wake.
Mbaya zaidi dhlomo mkuda mwenyewe anamtafutiaga angle zweli sasa kajileta mwenyewe kabisa
Sioni maisha marefu kwa zweli...
Huyu dhlomo ukuda wake ndio maana umaskini haumuishi
huyu pimbi ayanda anataka amuangushe xulu ili jamii imuone shujaa pia alipize kisasi cha baba yake hajui wala kujali kuhusu effect atakazopata zweli kumsnitch bosi wake.
Mbaya zaidi dhlomo mkuda mwenyewe anamtafutiaga angle zweli sasa kajileta mwenyewe kabisa
Sioni maisha marefu kwa zweli...
Huyu dhlomo ukuda wake ndio maana umaskini haumuishi
mumeo bwana mwambie akituliza kwa kweli kwani si umbabaishe babaishe hata kuifinyia ndani atulie?Nakuzoom tu.... π§
hatuna cha kukubishia..umeangalia siku moja mbili basi?Bado Isidingo is much far better than this
π π π mwachee...ndio kaz yake sasa kwani walitumwa wakafanye maovu yao? acha walipe.. tena huo ukuda wake ndio nauzimikia kabisaa upo.. πmumeo bwana mwambie akituliza kwa kweli kwani si umbabaishe babaishe hata kuifinyia ndani atulie?
πππ
uyo mxo kwanza toto la mama madeko mengi akili za mdleche.. hana maajabu.Wanawake ni nyoka sana kama xulu anavyodai
Dhlomo mkuda sana kashampoteza kijana wa watu zweli
Nae zweli hakutumia akili ona sasa anaenda jela jenzie ayanda linataka hadi kuingia kwenye siasa.
Ayanda na dhlomo jau sana mimi naona xulu abaki na mxo tu japo kajua leo sio mwanae tena ila ayanda mnoko sana hafai
Sasa unanisuta eeh ππ π π mwachee...ndio kaz yake sasa kwani walitumwa wakafanye maovu yao? acha walipe.. tena huo ukuda wake ndio nauzimikia kabisaa upo.. π
Kweli ayanda ana akili sana anajua kujiongeza sema siku hizi ameanza kufuata akili za baba yake mlezi mdletshe.uyo mxo kwanza toto la mama madeko mengi akili za mdleche.. hana maajabu.
japo ayanda mkaidi lakini akili anayo hana madeko kama uyo mwingine
xulu alikosea sana kumwamini mkewe kipindi kile akaingia mtegoni.......ndio ivyo lakini mliambiwa ishini nao kwa akiliπ
hapana ata sijakusuta mwayaa..ππSasa unanisuta eeh π
kweli pale alipoanzisha iko kikosi chake ndipo alipo aribuKweli ayanda ana akili sana anajua kujiongeza sema siku hizi ameanza kufuata akili za baba yake mlezi mdletshe.
Xulu ni kama mbongo yaani akikasirika anatema hadi mate
vumilia ndio utamu wenyewe huo asali inalambwa kidogo kidogo πhivi hakuna mwenye season one na two maana hizi nusunusu zinaniacha tu na hamu[emoji23]