Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Bheki ndo yule jamaa anayemtongoza manzuzaKuna bheki tena? Na pastor melusi [emoji22] daaah uzalo nishaachwa mbali sana saivi[emoji1487]
Wamemleta jamaa acheze character ya melusi tu.Kuna bheki tena? Na pastor melusi 😢 daaah uzalo nishaachwa mbali sana saivi🙌🏾
Tuko pamoja mjitahidi muangalie hata marudio hii tamthilia wametumia akili nyingi mnoMafian cartel unatusave sanaa nakubali japo sjacheki mdaa ila ka vile tupo pamoja
pamoja sanaa ni tamthilia bomba sanaaTuko pamoja mjitahidi muangalie hata marudio hii tamthilia wametumia akili nyingi mno
Mamlambo huwa nalikubali sana lile dada kwanza mdomo wake uwiii na msabwanda nyuma😃 aisee huwa nalitamani, sanaManzuza baada ya kuondoka nyumbani,baba mchungaji nae akaamua aende kwa mamlambo
Mamlambo akampa pole na kumwambia alale pale kwake mpaka kesho
Baada ya kulala pale wakaishia kunyanduana
Baba mchungaji akala tunda la mamlambo kimasihara [emoji28]
Asubuhi wakaamka na mahaba kama yote
Mamlambo akamwambia baba mchungaji kwamba alikua anampenda toka kitambo sema alishindwa kusema
Mangcobo akiwa anamsubiri nosipho amletee hela ili atoroke kwenda kuanza maisha mapya nosipho akaja na mkoba lakini haukua na hela
Nosipho aliwapanga polisi ili wamkamate Mangcobo
Baada ya dakika mbili polisi wakatokea na kumkamata Mangcobo
Nosipho kamuuza mama yake kwa polisi na akamwambia inabidi ulipe Dhambi ulizofanya nisamehe mama huku akilia
Mangcobo akamlaani sana nosipho kwa kumchoma na kumwambia usiniite tena mama yako Malaya wewe
Mangcobo akapakizwa kwenye gari la polisi
Nasubiri next week nione itakuaje
Its Pancho nana_
Bro umetisha, thank you so muchTuko pamoja mjitahidi muangalie hata marudio hii tamthilia wametumia akili nyingi mno
Kumbe siko peke yangu[emoji28]Mamlambo yupo sexy sana lips denda bonge la msambwanda sema tu anavaaga magauni muda mwingi Ila angekua anavaa nguo za mitego kama Nosipho au sibahle[emoji119] si ingekua balaa[emoji28]Mamlambo huwa nalikubali sana lile dada kwanza mdomo wake uwiii na msabwanda nyuma[emoji2] aisee huwa nalitamani, sana
Tuko pamojaBro umetisha, thank you so much
Daah.Kumbe siko peke yangu[emoji28]Mamlambo yupo sexy sana lips denda bonge la msambwanda sema tu anavaaga magauni muda mwingi Ila angekua anavaa nguo za mitego kama Nosipho au sibahle[emoji119] si ingekua balaa[emoji28]
Mamlambo avayojibebisha kwa pastor dah pastor hachomoki tena[emoji23][emoji23]Daah.
Kumbe sipo peke yangu, mamlambo ni moto, pastor kajilia dodo akaamka asubuhi akiwa mwepesiii[emoji1787][emoji1787].
Leo angaliaJana nimeikosa! Na nikachelewa marudio leo asubuhi!
Una update ya jana? Lakini usiwe spoiler..😀Leo angalia
Jana sikupata chance ntacheki leoUna update ya jana? Lakini usiwe spoiler..[emoji3]