Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #141
Dah pamoja Sana mkuu mxo acha akione cha mtema kuni babeki zakeLeo Baba yake Mxolisi amejua ameambiwa na Afande mnoko Mabuza alichomfanya mwanae kambeba kwenye Buti la gari akimsindikiza na kichapo tunasubir tujue nini kitaendelea...pastor ametoka lakini Ayanda still ameshikilia bendera akitaka penzi la Nombuso ni kama kamla denda lakini si unajua ITV kukatisha
Huyu demu bhana haeleweki mara mxo mara ayanda aahNombuso anampenda Ayanda sema anahofu na wazazi kuwa wamekaribisha hlf aanzishe uhusiano wa mapenzi
Kuna kipindi inabidi zaidi ya mnyama huwezi kuelewa maumivu yake walichomfanyiaFather ake max ni zaid ya mnyama
Ili arudishe pesa ya mzee wake?Rasmi mxo anaanza ujambazi wa magari
Hahhaa ukipata baba kama xulu kwisha habari yakoIli arudishe pesa ya mzee wake?
Na hapa ndipo dhlomo anapokamata mtu
Startimes hiyo station imekataMimi nafatilia Scandal ya etv, iko vizuri
Tafuta dstv au azamStartimes hiyo station imekata
Nilikuwa naifatilia mnooo
Huko ipo?Tafuta dstv au azam
YaahHuko ipo?
hahaa sura ya sbu sasa utazani sio yeye vile...mnyongeeeSbu muhuni sana kala kona
Naona sasa mama xulu akili imeanza kumkaa vizuri, xulu kawakomesha kweli na mxo..
Xulu anakwambia Chuck Norris 😁😁hahaa sura ya sbu sasa utazani sio yeye vile...mnyongeee