Uzao wa Nephillim na utawala wa Illuminati

Uzao wa Nephillim na utawala wa Illuminati

Story za Abunuwasi huwaga zinatoa elimu gani?
We ni illiterate namba moja kabisa, yaani wakati veterans wa vita vya iraq na afghanistan sasa hivi wanaungana huko marekani wanaita press wanaongea ukweli na kuzitupa medani walizotunikiwa bado we lofa hapa Tanzania unapinga tu,
Wakati wazazi wanaungana na kuandamana wanaongea mambo yote hadharani jinsi hali ilivyo mbaya marekani, kwenye mashule watoto wanapigwa risasi ovyo na wanadai pesa za umma zinatapanywa ovyo vitani, baada ya lile fungu nono kuahidiwa kwa Ukraine hivi karibuni , wewe bado unabisha ?!!!
Wakati watu sasa hivi wanafanya vurugu kwenye mikutano ya magavonor mbele ya kamera na polisi, wanadai wanasiasa wakatatue kwanza tatizo la vita ukraine, watafute amani na Putin maana wao kama raia hawataki nuclear war , tena raia wamechoshwa na vita vinavyopiganwa bila sababu halisi ila kwa uongo wa viongozi tu, wewe bado unabisha,?!!
Wakati juzi rais wa Taiwan alipotua New York watu wameandamana mbele yake na mbele ya vyombo vya usalama wakitamka wazi ondoka nchini mwetu hatukutaki , hatutaki vita na China , wewe lofa uliyeshiba ugali bamia bado unabisha ?!!!
Wakati juzi kati walipmuimpeach Donald Trump na kuahidi kumkamata , alisema marekani itaingia katika civil unrest iwapo atakamatwa, je unajua kwanini wanamuandama Trump lofa wewe ? Trump ndio anaewstajaga hao freemason wanaotawala marekani na anawaita ," the evil deep state", na ni Trump peke yake ndie kiongozi wa marekani aliyebaki anaemtaja YESU katika mikutano yake na saa nyingine wanaimba tenzi za rohoni( hymns) kwenye mikutano ya trump, unadhani wachawi waliopo madarakani wanamuonaje , si kama nyie majini mlivyokuwa mnamuona Magu hapa,
We lofa na majini wenzio ni washamba tu , hamjui lolote na msidanganye wanadamu hapa, mnaowaona kama ng'ombe wa kutafuna tu, kama vitoweo, panya nyie.
 
We dunderhead kweli, kama unadhani vitu vya wazi kama hivyo tunajifunzia humu jukwaani, idiot,
Fuatilia Replays zake nyingi huyo ndio walewale.. Yan ukisema uozo wa beberu atakuja kukuogesha. Ila Mungu fundi... Tangu French Revolution ama nyuma zaidi walianza hizo movements za kumpinga mpaka karne hii hawajafikia lengo pamoja na kujidai wako smart.

Yani hakika hii pekee inatosha kuustaajabia ukuu wa Muumba.
 
Umeandika Kweli Yote.

Wanaopinga ni uzao wa NYOKA.

Uzao uliouongelea ni more than 60% ya pupulation Dunia nzima.

Yaani Kwa wastani, katika Kila watu 10, only 4 ndo WANADAMU ambao hawajachanganya uzao. 6/10 ni Mapepo nusu mtu nusu shetani.

Wachawi wote, Waganga wote, drug dealers leaders wote ni wao, watakatishaji fedha ni wao nk nk.

Wote wanaosema kuuongelea USHOGA ni kuupromote ndio hao hao, sababu vitendo vya Giza hufanyika sirini na kimya kimya.

Watu hao utawakuta wakiendesha biashara ya kuuza binadamu nje ya nchi, biashara haramu za dawa za kulevya, wenye biashara za madanguro na kamali,casino nk nk

Ni Wala RUSHWA wakubwa, wanafurahia mateso Kwa maskini, njaa nk nk.

Hawasomi bt ndo wanaofaulu mitiihani Kwa kuiba, ndo wanatawala watu na Kila wanapokalia position Fulani watahakikisha Agenda za kipepo zinatawala.

Uzao wa Kutoka JUU KAZI tunayo, bt Mungu ametuma Malaika zake kutusaidia, ingawa mikakati ya giza ni mibaya sana, wangependa Wana wa Mungu na uzao wetu ufutike kabisa duniani.
 
Hivi mkuu, kinacho mfanya mtu kufikia level ya kutetea ushoga nyuma kunakua na nini mkuu?
Ukute mbunge anatetea ushoga,najikuta na changanyikiwa mkuu.
Hii ni roho ya kutoka kuzimu, sasa shetani ana uzao wake anaoutumia kufanikisha agenda zake. Huyo mbunge anayetetea ushoga atakua ni uzao wa shetani au anatumiwa na shetani pasipo yeye kujijua anatumiwa, mtu yeyote aliye vulnerable kiroho anatumika, usipokua na Roho Mtakatifu unaweza kutumiwa na shetani kufanikisha ajenda zake
 
umeongea point kabisa marekani ilianzishwa kwa msingi wa kikristo na george washington alikuwa ni mkristo na ndomana kwenye noti yao kuna neno la in God we trust na ndomana inaisapoti israel kwa maswala ya kiimani
 
Uzi mzuriii umewapa za uso mapepo yamepotea hahahaha
 
Back
Top Bottom