We jamaa ni hatari, kaa mbali kabisa na mkeo na unahitaji kufuli la chuma.
Ndugu haijalishi kujifungua kwa oparation au kawaida, mtu aliejifungua miezi sita iliyopita hapaswi kuwa na mtoto mda huu, ilitakiwa mkae miaka miwili au mitatu ndo upachike nyingine.
Hapo unamuua/ kumkongorosha mkeo mapema aisee, nenda hospitali ukapate ushauri zaidi, au abort the mision.
Siku nyingine suala la mpango wa uzazi lizingatie sana na linawahusu wote wawili usimwachie mkeo peke yake maana kwa tukio hili linanipa picha kwamba mkeo anakuamini sana na mambo yako ila hapa umemwangusha sana na imani kwako itaanza kupungua, usimlaumu maana uzembe wako ndo unasababisha.
Tumia kondom hata kama hutaona utam.