ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Je tetemeko likija ghafla mkafa watu million mbili hapo dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha.....Na akupe shikamoo, usisahau huyo ni Mvulana Chifu [emoji1666][emoji2]
Suala la usalama wa raia na rate ya uhalifu havihusiani kabisa na kuzaa Sana mkuu.Wacha waendelee kufyatua vinginevyo panya Road watapungua mitaani. Rasilimali watu ya panya Road inategemea watu wanaozaa watoto hovyo hovyo na kushindwa kuwapa malezi.
Mkuu, minafikiri unamawazo tegemezi, mipango mibovu na umasikini ndio tatizo kubwa linalo kuumiza.Nafikiri ni wakati muafaka sasa kwa serikali kutupangia idadi ya watoto na siyo kuzaana zaana tu, tukiendelea na tabia hii, nchi itashishwa kujiendeleza na kufanya kazi ya kujenga mashule na mazahanati, lazima kuwe na limit, ili pesa inayopatikana ikafanye maendeleo mengine.
Upo sahihi mkuu.Nchi kama tz inahitaji mipango thabiti hasa inshu za population control mana hii nchi wajinga wengi na wanazidi kuzaa wajinga tupu,china haikifika hapo ilipofika bila kuweka mikakati maalaumu juu ya population ya watu wake.
Mungu atuepushe na hili kwakweliJe tetemeko likija ghafla mkafa watu million mbili hapo dar
Unayajua maisha wanayo ishi watu vijijini?Acha ushamba
Watu Ni mtaji mkuu
Watu Ni nguvu Kazi ya taifa
Watu Ni jeshi la taifa
Watu Ni soko la ndani
Hakuna mtu atakubabaisha pa kuuza bidhaa yako, utauza soko la ndani maisha yataenda.
Upo sahihi kabisa, hao road panya ni matokeo ya kuzaa na kisha wazazi kushindwa kuwajibika vilivyo kwa watoto wao wakisingizia serikali na magimvi ya wazazi wenzaoWacha waendelee kufyatua vinginevyo panya Road watapungua mitaani. Rasilimali watu ya panya Road inategemea watu wanaozaa watoto hovyo hovyo na kushindwa kuwapa malezi.
Kwakua tayari wanatambua kwamba maisha yao ni duni, basi ni wajibu wao kuamua wazae mtoto mmoja au wawili au wasizae kabisa.Unayajua maisha wanayo ishi watu vijijini?
Ni kweli mkuu,ila kumbuka hao watu hawana Ufahamu wa mambo mengi..ndo maana kuna umuhimu wa serikali kuwapa hata elimu kuhusu umuhimu wa kuzaa watoto wachache ili waweze kuwamudu.Kwakua tayari wanatambua kwamba maisha yao ni duni, basi ni wajibu wao kuamua wazae mtoto mmoja au wawili au wasizae kabisa.
Sidhani kama ni jukumu la serikali kumfunua mtu akili na kumwambia asizae kwasababu hana uwezo wa kuwalea. Huu naita ni ujinga unao ongeza kizazi cha wajinga wengi zaidi