second king
Member
- Feb 8, 2016
- 94
- 43
Habari ya weekend wanajukwaa,
Napenda kuwauliza: Hivi kama unataka kuwa na idadi fulani ya watoto let say watatu/nne, ipi ni njia nzuri kuitumia baada ya kutimiza idadi hiyo ambayo itakuwa haina madhara kwa mke/mume? Ukizingitia ndo mwisho wa kuendelea kuzaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuwauliza: Hivi kama unataka kuwa na idadi fulani ya watoto let say watatu/nne, ipi ni njia nzuri kuitumia baada ya kutimiza idadi hiyo ambayo itakuwa haina madhara kwa mke/mume? Ukizingitia ndo mwisho wa kuendelea kuzaa.
Sent using Jamii Forums mobile app