data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Eee..takataka kabisa..Takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee..takataka kabisa..Takataka
Very sad.Kabisa Mkuu....
Wasitumie kabisa.. Sadly enough wasichana wanayatafuna kama karanga za diamond.
Vyuoni huko ni sehemu ya vitini.. Unapata mke miaka mitano mimba haidaki.
Uko smart ...very smart. Hongera.Mimi huwa natumia tu Calendar na watoto wangu wamepishana Miaka 3.5.
Pia haya madawa huwa nadhani yanachangia uwepo wa ugonjwa wa Kansa.
Asante Mkuu.Uko smart ...very smart. Hongera.
Haya matakataka ya kishenzi sanaHayo matakataka ya ajabu kweli sijui kama nitamruhusu mke wangu aje kutumia
Kwa kweli mimi huwa nashangaa manzi anayesema eti kutumia kalenda hawezi.... Huwa namuona mbumbu kabisa! This is the best and safe way which has no risk! Ila nahisi wanaoshindwa ni wale wachepukaji!Mimi huwa natumia tu Calendar na watoto wangu wamepishana Miaka 3.5.
Pia haya madawa huwa nadhani yanachangia uwepo wa ugonjwa wa Kansa.
Maumbile yanatofautiana...wengine kalender haiapply kwao.Kwa kweli mimi huwa nashangaa manzi anayesema eti kutumia kalenda hawezi.... Huwa namuona mbumbu kabisa! This is the best and safe way which has no risk! Ila nahisi wanaoshindwa ni wale wachepukaji!
Mr Kind.Kwa kweli mimi huwa nashangaa manzi anayesema eti kutumia kalenda hawezi.... Huwa namuona mbumbu kabisa! This is the best and safe way which has no risk! Ila nahisi wanaoshindwa ni wale wachepukaji!
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwa Mke na mume nadhani ni rahisi sana kuelekezana na kufikia maelewano. Kweli kuna wanaume wakorofi, lakini katika hili huo utakuwa sio ukorofi bali ujinga kuhatarisha afya ya Mke wako. Kalenda ni nzuri sana labda tu kwa hao wachache wenye matatizo ya kimaumbile.Mr Kind.
Sometimes hata Wanaume hawajui juu ya njia hii. Mara nyingi wanaume huwalazimisha wanawake kufanya nao tendo la ndoa hata akiwa katika siku zake za hatari.
Inakuwa ni vizuri pia kama Mwanaume na yeye atakuwa anafahamu siku za hatari kwa Mkewe kupata mimba.
Nimeweka hako ka-jedwali kanakoonyesha mzunguko wa Mwanamke na siku zake za hatari.
Kumbuka unaanza kuhesabu siku kuanzia siku ya Kwanza ya Mwanamke kuanza kutokwa na damu ya hedhi.
Au kuchomoa!Thanks. Ushauri mwingine wa bure kama mwanamke hajazaa Ni vema kutumia natura ways like calendar na au condoms.
Kuchomoa Ni hatari zaidiAu kuchomoa!
Ina hatari gani kiongozi!Kuchomoa Ni hatari zaidi
Mkuu ukichomoa saana kuna hatari ya kuharibu kizaziIna hatari gani kiongozi!
Mkuu haiitwi kuchomoa, inaitwa kushusha kando.... hahah...Au kuchomoa!