Bhudagala
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 325
- 311
Habari wakuu!
Nimeamua uzi huu kuupa kichwa hicho, naomba kuuliza kwamba. Mwanamke baada ya kujifungua huchukua muda gani kuanza kuona siku zake? Na Je, akifanya tendo la ndoa ndani ya miezi miwili baada ya kujifungua inaweza kupelekea kubeba ujauzito ilihali hata siku zake hajaziona?
Asante!
Nimeamua uzi huu kuupa kichwa hicho, naomba kuuliza kwamba. Mwanamke baada ya kujifungua huchukua muda gani kuanza kuona siku zake? Na Je, akifanya tendo la ndoa ndani ya miezi miwili baada ya kujifungua inaweza kupelekea kubeba ujauzito ilihali hata siku zake hajaziona?
Asante!