Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Mchepuko unakuambia wewe mbona kama baba yangu ujue huna hela, pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi?Habari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Ukijikubali unakua mu handsome tuu ya uzee na kurith vinaonekana tuu wala usiwaze.Ni mamvi ni mwendo wa kutembea na hair dye na kimswaki mpaka naelekea kunyoosha mikono sasa .Miaka 36.
uo sasa ndo muda muafaka wa kung'oa warembo kama haujui. angalia tu wasikumalize. wanawake wa ajabu sana wanawaamini sana vibabu kuliko vijana wenzao.Habari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
🤣 🤣 🤣Habari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI
Majukumu mkulu pressure kila mahali mazafaka.Ukijikubali unakua mu handsome tuu ya uzee na kurith vinaonekana tuu wala usiwaze.
Au n mvi za majukumu 😂😂😂.
Kwahiyo kupigwa pumbu kooote huko bila bila mpaka leo hakuna kilichotoka??Mimi ninavyoupenda uzee, nasikia raha kuitwa mama, hata binti yangu wa kazi tunabishana namwambia niite mama yy anagoma. Anasema mimi ni dada yake.!!
Kuna kitoto cha kike nakaa nacho cha wifi yangu nilikigomea kuniita aunt, kinaniita mama basi nasikia raha 🥰🥰🥰
Natamani mtoto wa sisy akue haraka apate mtoto niiitwe bibi mdogo 🤣
Mayai yangu viza mahi 🤣Kwahiyo kupigwa pumbu kooote huko bila bila mpaka leo hakuna kilichotoka??
Jitzame vizuri, au wewe tasa?
Ahahaha..dah!! Nimecheka honestly...Mayai yangu viza mahi 🤣
Punguza punyeto na majungu uso upate nuruHabari wakuu natumaini muko vizuri.
Maisha yangu yanaendelea kunishangaza kila siku kuhusu nyakati zangu, Nimekuwa nikiishi kama kijana mdogo wa kawaida lakini kumbe jamii hainioni kuwa ni kijana mdogo bali inaniona ni Mtu anaefukuzia uzee.
Nilizoea kupewa shkamoo na watoto wadogo lakini sasa napewa shkamoo na vijana wakubwa tuu ambao Mimi nilihisi pengine tuko sawa. Mwanzo walikuwa ni vijana wakubwa wachache lakini saizi ni vijana wengi sana wakubwa wananipa shkamoo, wengine wananiita baba kabisa.
Siku Moja ndio nilishangaa kabisa pale nilipotaka kujipatia kamchepuko majibu yake yakaniacho hoi "kalisema lakini wewe mbona kama baba yangu tuu "
Uzee umepiga hodi kwenye maisha yangu na Bado hata sikujipanga vizuri kuupokea.
NB: MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI