Uzee umekuja ghafla kwenye maisha yangu

Una miaka mingapi?
 
Ni mamvi ni mwendo wa kutembea na hair dye na kimswaki mpaka naelekea kunyoosha mikono sasa .Miaka 36.
 
Ni mamvi ni mwendo wa kutembea na hair dye na kimswaki mpaka naelekea kunyoosha mikono sasa .Miaka 36.
Ukijikubali unakua mu handsome tuu ya uzee na kurith vinaonekana tuu wala usiwaze.
Au n mvi za majukumu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
uo sasa ndo muda muafaka wa kung'oa warembo kama haujui. angalia tu wasikumalize. wanawake wa ajabu sana wanawaamini sana vibabu kuliko vijana wenzao.
 
Dah mwanangu huwa inakera japo ndo uhalisia,hiyo inanikuta mimi pia,ni kijana mdogo ila upara unang'aa hataree,inanifanya ninyoe kila wiki isee,kibaya sijaoa,hv nataka nioe chap isije nikachelewa niikajakataliwa kuonekana babu
 
🀣 🀣 🀣
 
Ukijikubali unakua mu handsome tuu ya uzee na kurith vinaonekana tuu wala usiwaze.
Au n mvi za majukumu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Majukumu mkulu pressure kila mahali mazafaka.
 
Kwahiyo kupigwa pumbu kooote huko bila bila mpaka leo hakuna kilichotoka??
Jitzame vizuri, au wewe tasa?
 
Punguza punyeto na majungu uso upate nuru
 
Hii inawakuta Sana wale Dada pouwa wanauza mbususu mwisho wa siku wanaona madanga wanapungua wakija kutahamaki wanaambiwa 'Bibi zima unauza kum#.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…