Uzee wako unataka uweje?

Uzee wako unataka uweje?

Halafu uwe humtegemei mtu na una furaha zaidi
Mazoezi kidogo ni nzuri sana ila sio ya kujichosha, hata kutembea inanisaidia sana
Najiona bado sana
Ni kweli mkuu, kutokumtegemea mtu kutategemea na namna ulivyopangilia mambo yako. Kwa mazingira ya sasa itakuwa ni vizuri, hata ukiwa usingizini pesa iwe inaingia kutokana na ulivyoviwekeza.
 
Daa mm nimejipanga niwe na nyumba hasa appartment za chumba na sebule ndo jimeanza zipo nane kwenye nyumba ninayoishi zote zipo kwenye rents ninamaliza kufunga next week tofali za kozi mbili tayari site. Nitapumbzika miezi 2 navuta upepo then nipaue. Nina kiwanja kingine itaweka appartment 14 ama 16
Kwa hizi nina uhakika wa kuingiza kila moja 120000 hadi 150000 so kwa mwezi itakuwa na uhakika wa 1000000 hadi 1200000 nikishamaliza hizi nane ndo zitajenga hizi 16 ambazo nazo nitakuwa na uhakika wa kuingiza kila moja kima cha chini 1500000 maana zipo mjini kati mara 16 ni2400000 hivo nitakua na uhakika wa 3 mln kwa mwezi. Na nitatafuta biashara ndogo tu ya kunikeep busy nataman niwe na kiwanda kidogo cha kushona nguona kuziuza kwa jumla hasa nguo za watoto na za akina mama zinazouzwa bei mbaya
 
Daa mm nimejipanga niwe na nyumba hasa appartment za chumba na sebule ndo jimeanza zipo nane kwenye nyumba ninayoishi zote zipo kwenye rents ninamaliza kufunga next week tofali za kozi mbili tayari site. Nitapumbzika miezi 2 navuta upepo then nipaue. Nina kiwanja kingine itaweka appartment 14 ama 16
Kwa hizi nina uhakika wa kuingiza kila moja 120000 hadi 150000 so kwa mwezi itakuwa na uhakika wa 1000000 hadi 1200000 nikishamaliza hizi nane ndo zitajenga hizi 16 ambazo nazo nitakuwa na uhakika wa kuingiza kila moja kima cha chini 1500000 maana zipo mjini kati mara 16 ni2400000 hivo nitakua na uhakika wa 3 mln kwa mwezi. Na nitatafuta biashara ndogo tu ya kunikeep busy nataman niwe na kiwanda kidogo cha kushona nguona kuziuza kwa jumla hasa nguo za watoto na za akina mama zinazouzwa bei mbaya
Kwa nini umependa kuwekeza kwenye majengo, na si biashara zingine?
 
Daa mm nimejipanga niwe na nyumba hasa appartment za chumba na sebule ndo jimeanza zipo nane kwenye nyumba ninayoishi zote zipo kwenye rents ninamaliza kufunga next week tofali za kozi mbili tayari site. Nitapumbzika miezi 2 navuta upepo then nipaue. Nina kiwanja kingine itaweka appartment 14 ama 16
Kwa hizi nina uhakika wa kuingiza kila moja 120000 hadi 150000 so kwa mwezi itakuwa na uhakika wa 1000000 hadi 1200000 nikishamaliza hizi nane ndo zitajenga hizi 16 ambazo nazo nitakuwa na uhakika wa kuingiza kila moja kima cha chini 1500000 maana zipo mjini kati mara 16 ni2400000 hivo nitakua na uhakika wa 3 mln kwa mwezi. Na nitatafuta biashara ndogo tu ya kunikeep busy nataman niwe na kiwanda kidogo cha kushona nguona kuziuza kwa jumla hasa nguo za watoto na za akina mama zinazouzwa bei mbaya

Penye nia pana njia
Uwekezaji kwenye majengo haujawahi kumuangusha mtu hata wale wanaoanza huwa wanafika mbali kama umejikita kwenye hii biashara hongera sana
 
Daa mm nimejipanga niwe na nyumba hasa appartment za chumba na sebule ndo jimeanza zipo nane kwenye nyumba ninayoishi zote zipo kwenye rents ninamaliza kufunga next week tofali za kozi mbili tayari site. Nitapumbzika miezi 2 navuta upepo then nipaue. Nina kiwanja kingine itaweka appartment 14 ama 16
Kwa hizi nina uhakika wa kuingiza kila moja 120000 hadi 150000 so kwa mwezi itakuwa na uhakika wa 1000000 hadi 1200000 nikishamaliza hizi nane ndo zitajenga hizi 16 ambazo nazo nitakuwa na uhakika wa kuingiza kila moja kima cha chini 1500000 maana zipo mjini kati mara 16 ni2400000 hivo nitakua na uhakika wa 3 mln kwa mwezi. Na nitatafuta biashara ndogo tu ya kunikeep busy nataman niwe na kiwanda kidogo cha kushona nguona kuziuza kwa jumla hasa nguo za watoto na za akina mama zinazouzwa bei mbaya
Kiwanja kina ukubwa gani?

Hata mimi hizi apartments natamani sana za 2 bedroom each.
 
Kiwanja kina ukubwa gani?

Hata mimi hizi apartments natamani sana za 2 bedroom each.
Kiwanja ni medium nafikiri maana ni skwata nfo tunasubiri kuja kuwekewa beakon na kulipia hati
Ila hiki ambacho nataka niweke appatment 16 ni 1200sqm
 
Natamani nikifikisha miaka 60 kama Mungu atajalia, nisiwe natumia nguvu nyingi sana za kupata ugali kwa siku. Kama itawezekana, uwe ni umri wa kucheza na wajukuu pamoja na kwenda kuwinda au kushangaa kobe porini.

Siku ya ibada kwa sababu mimi ni mkiristu, nisiwe nasali katika kanisa moja, bali kila jumapili niwe naenda kusali kanisa jingine.

Niwe nakula vyakula vya asili na kwa upande wa nyama niwe nakula nyama pori kama za sungura, ndege, swala, samaki n.k

Nitapenda niwe na dreva wa kike ambaye atakuwa smati na mcha Mungu, ambaye tutakuwa tunaenda naye tripu mbalimbali; nimechagua wakike kwa sababu ili safari zisiwe zinanichosha.

Nitapenda muda mwingi niishi porini ili niweze kupata hewa safi ambayo haijachakachuliwa na uharibifu wa mazingira.

We uzee wako unataka uweje?
Mimi nina umri huo lakini,sina kipato chochote,watoto wangu wote bado hawajapata stability in life,si wakike au wakiume.sina mahusiano mazuri na mke wangu,sina kipato chochote na wala sina akiba yoyote ile.
Sina furaha yoyote,fulltime nipo kimya,siongei na ntu yoyote,nasalimiana na watoto wangu vizuri tu.in short my life is purposeless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina umri huo lakini,sina kipato chochote,watoto wangu wote bado hawajapata stability in life,si wakike au wakiume.sina mahusiano mazuri na mke wangu,sina kipato chochote na wala sina akiba yoyote ile.
Sina furaha yoyote,fulltime nipo kimya,siongei na ntu yoyote,nasalimiana na watoto wangu vizuri tu.in short my life is purposeless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Most times, the emptiness we feel is because we wander too far away from our Lord.

Walk with the Lord and you will find fulfilment in your life. Always remember to look at those lower than you in life. They make you grateful wherever you may be. When you keep looking at those who are more successful, you feel frustrated and 'behind' in life.

Happy Valentines Love. Hope you feel better.
 
Kiwanja ni medium nafikiri maana ni skwata nfo tunasubiri kuja kuwekewa beakon na kulipia hati
Ila hiki ambacho nataka niweke appatment 16 ni 1200sqm
Unatarajia floor plan ya kila nyumba iwe na square metre ngapi?
 
Mimi nina umri huo lakini,sina kipato chochote,watoto wangu wote bado hawajapata stability in life,si wakike au wakiume.sina mahusiano mazuri na mke wangu,sina kipato chochote na wala sina akiba yoyote ile.
Sina furaha yoyote,fulltime nipo kimya,siongei na ntu yoyote,nasalimiana na watoto wangu vizuri tu.in short my life is purposeless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
mindhari bado unapumua ni kumshukuru muumba wako Ila pia bado haujawa na umri mkuubwa kihivyo kiasi cha kushindwa kuota ndoto mpya na kuzitimiza au kushindwa kupanga mipango mingine mipya kutoka kwenye eneo,mazingira na hali uliyonayo
 
Unatarajia floor plan ya kila nyumba iwe na square metre ngapi?
Hicho kiwanja anachosema kwa ujenzi WA idadi hiyo ya nyumba ni kidogo Sana,labda kusiwe na parking na bustani kwa kila nyumba na kusiwe na vijia vya kutenganisha nyumba na nyumba au kupitisha magari ni kuwa vitakuwa full mbanano
 
Mimi nina umri huo lakini,sina kipato chochote,watoto wangu wote bado hawajapata stability in life,si wakike au wakiume.sina mahusiano mazuri na mke wangu,sina kipato chochote na wala sina akiba yoyote ile.
Sina furaha yoyote,fulltime nipo kimya,siongei na ntu yoyote,nasalimiana na watoto wangu vizuri tu.in short my life is purposeless

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wapo wengi wenye changamoto kama ya kwako, na kilichosababisha hiyo hali inawezekana ni uhusiano. Ila ukiongeza jitihada unaweza kufanikisha ndoto yako kama watoto wako wana umri kuanzia miaka 18+
 
Hicho kiwanja anachosema kwa ujenzi WA idadi hiyo ya nyumba ni kidogo Sana,labda kusiwe na parking na bustani kwa kila nyumba na kusiwe na vijia vya kutenganisha nyumba na nyumba au kupitisha magari ni kuwa vitakuwa full mbanano
Niliwaza hili ndo maana nataka floor plan.
 
JF kila mtu ana nyumba, ana gari, hachepuki na anamjua Kasie Matata.

Hivi babuuu...

Rodizho bado papooo?

Safari hii niko sirias twende...

This coming weekend count me in, nna kiu ya kula nyama pori.
 
Hivi babuuu...

Rodizho bado papooo?

Safari hii niko sirias twende...

This coming weekend count me in, nna kiu ya kula nyama pori.
Ni sawa na nimefurahi

Ila ahadi hewa nehii

Hivi si uliniahidi utanizalia baby boy? Yuko wapi sasa na ma P2 yako kila siku
 
Back
Top Bottom