Ivi serikali inaona jinsi inavyopoteza mapato. Naona kama tunaibiwa fedha zetu unalipia mzigo kodi zote lakini mzigo wako unashikiliwa hupewi Ati system hazifanyi kazi kibaya zaidi unazidi kulipishwa port charges. Hii ni aibu na hatutaweza kujikwamua kiuchumi. Aibu sana kwa nchi yetu