Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Inanipa kuamini ya kwamba huyu Makame Mbarawa hakusoma au alilazimishwa au alikuwa amechoka na ya kwamba ni uzembe tu na mazoea ya wanaojiitaa wasomi wetu wakati wankusaini mikataba ambayo unaweza kuliingiza taifa pabaya.
Tizama screenshot ifuatayo uone uzembe mkubwa wakati wa kutia saini mikataba muhimu kama hiyo.
Tizama screenshot ifuatayo uone uzembe mkubwa wakati wa kutia saini mikataba muhimu kama hiyo.