Uzembe mwingine aisee utakuja kuwagharimu

Uzembe mwingine aisee utakuja kuwagharimu

Mkipenda waamini Sana wanawake mkija liwa msilete uzi wa lawama. Huwa nashangaa unakuta dume linaenda hadi chumbani kwa mke wa mtu kulala eti jamaa yake hayupo kasafiri mtacharangwa mapanga kwa ulafi wa K. Haya mambo ya kupenda mteremko hatari sana.
 
Binti mpumbavu mtu walishaachana angeweka msimamo wa simu yake kutoguswa. Hao hawajaachana ni tamaa ya huyo binti imemponza.
 
Samahani broo sasa hapa uzembe uko wapi? labda uzembe wa huyo binti kukwapuliwa simu na mume wake?
 
Back
Top Bottom