Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Mfano mchezaji akipata majeraha na kupelekwa hospitali.. Je..? Mechezo utaghairishwa.Kabla ya gari kurudi Kwa mfano mchezaji angepata majeraha ya kupelekwa hospital haraka iwezekanavyo wangetumia usafiri Gani kwenda hospital kunusuru maisha ya mchezaji?
Boda Chap TuKabla ya gari kurudi Kwa mfano mchezaji angepata majeraha ya kupelekwa hospital haraka iwezekanavyo wangetumia usafiri Gani kwenda hospital kunusuru maisha ya mchezaji?
Mfano mchezaji akipata majeraha na kupelekwa hospitali.. Je..? Mechezo utaghairishwa.
Maana uwanjani hapatokuwa na gari ya wagonjwa tena.
Au kuna backup..? Kama kuna backup kwanini isitumike now..?
Au mchezo utasimama hadi gari itakapo rejea..?
Au gari lililopata dharura limepeleka mgonjwa KIGOMA..?
Hoja yako inamantiki, lakini Naona walioahilisha wameangalia Sheria inasemaje, kama Sheria inasema mpira kabla ya kuanza NI lazima iwepo gari ya wagonjwa basi wapo Sawa.Mfano mchezaji akipata majeraha na kupelekwa hospitali.. Je..? Mechezo utaghairishwa.
Maana uwanjani hapatokuwa na gari ya wagonjwa tena.
Au kuna backup..? Kama kuna backup kwanini isitumike now..?
Au mchezo utasimama hadi gari itakapo rejea..?
Au gari lililopata dharura limepeleka mgonjwa KIGOMA..?
Tatizo la waafrika tumezoea kupeleka mambo kibishibishi sa ikitokea mtu akafaint uwanjan atapelekwaje hospitalinawezekana vp manispaaa ina gari moja tu la wagonjwa... inakosa ambulesi katika mechi muhimu kama hii
Au ni hujuma tu ili mbeya kwanza wapate ponti za bure
Mechi kuhairishwa kwa sababu ya kutokuwepo gari ya wagonjwa ni sheria ya kipuuzi..gari lilipata dharula ya kupeleka mgonjwa mechi si ingeendeleea tu maana gari lingerudi..kuliko kuhairisha kabisa
Sawa ...what if mtu amefaint uwanjani na gari ikampeleka hospital..mechi inasimama mpaka gari lirudi????Tatizo la waafrika tumezoea kupeleka mambo kibishibishi sa ikitokea mtu akafaint uwanjan atapelekwaje hospital