Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
inawezekana vp manispaaa ina gari moja tu la wagonjwa... inakosa ambulesi katika mechi muhimu kama hii
Au ni hujuma tu ili mbeya kwanza wapate ponti za bure
Mechi kuhairishwa kwa sababu ya kutokuwepo gari ya wagonjwa ni sheria ya kipuuzi..gari lilipata dharula ya kupeleka mgonjwa mechi si ingeendeleea tu maana gari lingerudi..kuliko kuhairisha kabisa
Au ni hujuma tu ili mbeya kwanza wapate ponti za bure
Mechi kuhairishwa kwa sababu ya kutokuwepo gari ya wagonjwa ni sheria ya kipuuzi..gari lilipata dharula ya kupeleka mgonjwa mechi si ingeendeleea tu maana gari lingerudi..kuliko kuhairisha kabisa