Ujumbe umewafikia, na bila shaka watafuatilia na kuangalia mapendekezo yako yatatoa msaada upi ili kuondoa vyama uchwara hapo Tabora na kwenye mikoa mingine!I only wanted the message to be sent and delivered to my fellows in this way and I thank lord for this
Ujumbe umewafikia, na bila shaka watafuatilia na kuangalia mapendekezo yako yatatoa msaada upi ili kuondoa vyama uchwara hapo Tabora na kwenye mikoa mingine!
Habari ndio hiyo......!
Ujumbe umewafikia, na bila shaka watafuatilia na kuangalia mapendekezo yako yatatoa msaada upi ili kuondoa vyama uchwara hapo Tabora na kwenye mikoa mingine!
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
M-bongo, nina wasi wasi na nia yako. Ni wazi kwamba:
1) Wewew ni mwanachama wa CCM
2) Ni adui wa kiongozi aliyepo sasa unayetaka awajibishwe
3) Una mawazo mgando kwamba CCM tu ndiyo chama chenye kutakiwa kuongoza
4) Wewe ni mjumbe kwenye vikao vya CCM Tabora, na ambaye umezoea kupewa fedha kwa semina za udhalimu ambazo mmekuwa mkipeana kwa njia ya takrima
5) Umeingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, kama kikaragosi wa wakubwa ili upate chochote ( mchumia tumbo)
SASA, ushauri wa bure ni kwamba uache huo ujinga, fanya kazi na watu waliochaguliwa kihalali, si wale waliopita kwa kupika matokeo. Usiangalie sana tumbo lako, watoto wako ndio watakao pata shida pale ambapo udhalimu mnaoendekeza CCM, utafikia mahali mkauza nchi kwa mafia RA na timu yake
TAFAKARI
BRYASEL,hivi uraisi mwakani 2010 mnafikiria kula tumpe nani,LIPUMBA,MREMA,ZITTO.Mbona kambi yote hamna mtu wa kutuongoza?,afadhali sisiemu waendelee kupata kula zao,au freemon mbowe,hakuna mtu wa kumpatia kura pale nawambia.
Ombeni mtu atoke ccm aamie cha cha upinzani ndo tumpigie vinginvyo hakuna mtu wakupigia kura labda kama tunataka mabaraa matupu.
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
Tabora Mjini na Vijijini bado CCM ina nguvu, kulikuwepo na makosa kidogo ya kiutendaji wakati wa maandalizi na kampeni zake kwa upande wa CCM, nyingi zikisababishwa na upeo mdogo wa Makada waliowakilisha, na kuwapa ushindi kidogo kwa vyama uchwara!KIBUNANGO,
Unaita chama changu kilichoshinda Tabora kuwa chama uchwara?
Ukionekana tu Tabora, tutakupopoa na viazi vitamu.....
Kama Kigoma wamemchagua Zitto na wapepata lami, basi CCM lazima wafahamu kuwa SOMO LIMEFIKA.
Mwakani nawaambia kabisa vijana wangu hapa SIkonge kuwa:
CCM ni chama kizuri sana ila inabidi kiende LIKIZO. Wafanye kazi ya ziada kuja madarakani. Wakiwa nje, wataweza kuona madudu yao na wajisafishe kikwelikweli. Ila sasa hivi dawa ni moja, wapigwe chini na ile MIFISADI mikubwa iwekwe lupango ......... you who they are.......
M-bongo, nina wasi wasi na nia yako. Ni wazi kwamba:
1) Wewew ni mwanachama wa CCM
2) Ni adui wa kiongozi aliyepo sasa unayetaka awajibishwe
3) Una mawazo mgando kwamba CCM tu ndiyo chama chenye kutakiwa kuongoza
4) Wewe ni mjumbe kwenye vikao vya CCM Tabora, na ambaye umezoea kupewa fedha kwa semina za udhalimu ambazo mmekuwa mkipeana kwa njia ya takrima
5) Umeingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi, kama kikaragosi wa wakubwa ili upate chochote ( mchumia tumbo)
SASA, ushauri wa bure ni kwamba uache huo ujinga, fanya kazi na watu waliochaguliwa kihalali, si wale waliopita kwa kupika matokeo. Usiangalie sana tumbo lako, watoto wako ndio watakao pata shida pale ambapo udhalimu mnaoendekeza CCM, utafikia mahali mkauza nchi kwa mafia RA na timu yake
TAFAKARI
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
Ulikimbia umande nini? Eti kuwa CCM ni ujinga, mjinga ni wewe usiejua hata kuandika! Tena ta'adabu!Inamaana wewe kwa akili yako chama ni ccm tu?hivi watanzania tutaelimika lini juu ya kuchagua kiongozi na si chama? hivi kweli turudi nyuma kule kwenye vitisho vya "upinzania utaleta vita" na wajinga wengi wakatishika ukiwemo na wewe?Badilika unatia haibu.Tunaendelea vizuri sasa kwani angalau tuna wabunge wa upinzani,lakini wewe bado upo kwenye ujinga uleule wa "tumechukua tunaweka waaaa".Badilika unatia haibu hata kama ni kada!!!!!
Ikiwa ni Ishara tosha kuwa katika uchaguzi mkuu ujao CCM Tabora Mjini itapoteza viti vingi vya Udiwani kama mtendaji wa CCM tabora Mjini na Timu yake hawatawajibishwa! hadi Uchaguzi unafanyika hakuna semina yeyote kwa viongozi wala mawakala hivyo kuingia kwenye uchaguzi kwa kubahatisha. matokeo yameonyesha kuwa viti vingi vya Mitaa vilivyokuwa vikishikiliwa na CCm vimekwenda CUF, TLP na UDP kwa idadi kubwa tofauti na miaka ya nyuma. viongozi wa CCM Mkoa na Taifa fanyeni hima ili kurekebisha hali ya ya kisiasa tabora MJINi vinginevyo hali ni mbaya Mno, Katibu Mwenezi wa CCM mkoa Tabora ambaye pia ni diwani kata yake ina idadi kubwa ya viti vya mitaa vilivyochukuliwa na vyama vya siasa tofauti na CCM kwa maana CCM 5 upinzani 6, Mkiti wa CCM Mkoa wa tabora anaongozwa na CUF aibu!
KIBUNANGO,
Unaita chama changu kilichoshinda Tabora kuwa chama uchwara?
Ukionekana tu Tabora, tutakupopoa na viazi vitamu.....
Kama Kigoma wamemchagua Zitto na wapepata lami, basi CCM lazima wafahamu kuwa SOMO LIMEFIKA.
Mwakani nawaambia kabisa vijana wangu hapa SIkonge kuwa:
CCM ni chama kizuri sana ila inabidi kiende LIKIZO. Wafanye kazi ya ziada kuja madarakani. Wakiwa nje, wataweza kuona madudu yao na wajisafishe kikwelikweli. Ila sasa hivi dawa ni moja, wapigwe chini na ile MIFISADI mikubwa iwekwe lupango ......... you who they are.......