chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Habari WanaJF
Kuna huyu ndugu yangu amepata matatizo, kama kuna mwenye kujua namna ya kumsaidia apate msaada wa haraka nitashukuru.
Kisa chenyewe ndiyo hiki;
Jamani ndugu zangu matatizo yamezidi kuniandama tena, la mtoto limepita limekuja tena la mama watoto baada ya mke wangu kuzalishwa pale Sinza Palestina mtoto kwenda kufia Mwananyamala hospitali. Usiku huu wa J2 kuamkia J3 nipo hospitali ya Mbezi baada ya mke wangu kupata maumivu makali ya tumbo usiku huu kafanyiwa uchunguzi kumeonekana bonge la pamba tumboni imeachwa eidha kwa makusudi au kwa uzembe.
Kwanini nisiseme hata mtoto alikufa kwa uzembe wa hao hao? Ninachoomba ni msaada wa kisheria, nina imani huku tupo watu tofauti tofauti.
Namba yangu ni 0715724897 au 0767624897 naombeni msaada wenu!
Tumsaidie apate haki yake mbali na kwamba alishapoteza mtoto.....
Natanguliza Shukrani kwenu!!
Kuna huyu ndugu yangu amepata matatizo, kama kuna mwenye kujua namna ya kumsaidia apate msaada wa haraka nitashukuru.
Kisa chenyewe ndiyo hiki;
Jamani ndugu zangu matatizo yamezidi kuniandama tena, la mtoto limepita limekuja tena la mama watoto baada ya mke wangu kuzalishwa pale Sinza Palestina mtoto kwenda kufia Mwananyamala hospitali. Usiku huu wa J2 kuamkia J3 nipo hospitali ya Mbezi baada ya mke wangu kupata maumivu makali ya tumbo usiku huu kafanyiwa uchunguzi kumeonekana bonge la pamba tumboni imeachwa eidha kwa makusudi au kwa uzembe.
Kwanini nisiseme hata mtoto alikufa kwa uzembe wa hao hao? Ninachoomba ni msaada wa kisheria, nina imani huku tupo watu tofauti tofauti.
Namba yangu ni 0715724897 au 0767624897 naombeni msaada wenu!
Tumsaidie apate haki yake mbali na kwamba alishapoteza mtoto.....
Natanguliza Shukrani kwenu!!