Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Sio mbaya ukiweka na samples za kazi yako tushawishikeShukrani sana mtoa mada binafsi nahusika na logo design, OnlinePoster, banner design, business card, headletter for companies, birthday wishes poster, birthday invitation card, music cover design, business label etc bei ni rafiki sana na zinazingatia hali ya mteja na upana wa biashara yake.
Whatsapp/call 0686907945
Kuandaa michoro ya 3D kwenye Computer tu ama ata michoro ya kuchora kwa kutumia mkono kwenye karatasi?Naitaji kijana mwenye ujuzi wa kuandaa michoro ya 3D asiwe mwajiriwa sehemu yeyote na awe teyari kufanya kazi ktk ofisi yetu.
Mkuu Ambition plus, God bless youNimepigiwa simu,hawa jamaa wanataka kulipwa...
Usikubali kununua kazi.
Achana nao
Vp mkuu umeshampata niko interested hapaHabari wakuu? Poleni kwa majukumu ya ujenzi wataifa.
Natafuta mshirika (partner) ambaye tutaweza tukafungua kituo cha kufundisha tuition, QT, resitters, english course pamoja na computer. Mimi nimefundisha vituo tofauti tofauti kwa muda mrefu nimeona muda sasa umefika nami nijisimamie.
Masomo niliyobobea ni ya Arts (Civics, History, Geography, English na Kiswahili). Kwahyo partner ninayemtafuta ni ambaye anamudu kufundisha masomo ya Mathematics, Chemistry, Physics na Biology. Sio lazima uwe muhitmu wa ualimu kikubwa uwe unamudu kufundisha na uwe na commitment tujitume tufanye kazi.
Nipo Dar es Salaam, ambaye yuko interested inbox ipo wazi.
Tukifanikiwa kuanza naamini mpaka mwakani wakati kama huu tutakuwa tumepiga hatua kubwa tu.
Ahsanteni
Ukipata na mm nistueNatafuta mtu wa kuniandika cv vzur.... aje dm
Bado ipo
Unataka kijana mmoja kwa kazi zote 3 au vijana watatu kwa kazi moja moja hapoNatafuta kijana mtaam wa kuandaa mabango ya 3d na anae jua car branding na shell mshahara mzur na ofis ipo kanda ya ziwa
Kijana mmoja anejua kazi zote ili nimlipe vizurUnataka kijana mmoja kwa kazi zote 3 au vijana watatu kwa kazi moja moja hapo
Sawa mkuu.Kijana mmoja anejua kazi zote ili nimlipe vizur
Haya mabango ya kuwakawaka nimeyafatilia kwa karibu sana,nataman nikajifunzeNatafuta kijana mtaam wa kuandaa mabango ya 3d na anae jua car branding na shell mshahara mzur na ofis ipo kanda ya ziwa
Anahitaji mchongo.Habari wakuu, nipo apa kijana wa mikopo, nina uzoefu wa microfinance zaidi ya miaka 2, diploma ya procurement nipeni michongo yoyote popote kwenye rizki mimi naingia, 0712605935