De Rabbits slick
Senior Member
- Mar 18, 2018
- 167
- 166
- Thread starter
-
- #421
Ndugu zangu mchongo huu kwa aliyekododoma.Habari natafuta kijana / binti wa kuuza juice kwa kutembeza
Mshahara ni makubaliano
Awe mchangamfu na aipende hiyo kazi,
Mahali ni Dodoma
Any one interested PM please for more information
Mchongo huu kwa wataalamu wa mabango wa 3D kazi hiyo hapo tuchamkie fursa.Natafuta kijana mtaam wa kuandaa mabango ya 3d na anae jua car branding na shell mshahara mzur na ofis ipo kanda ya ziwa
Soko limeegemea huko kaka bila shaka wewe wahi ujifunze uwahi sokoHaya mabango ya kuwakawaka nimeyafatilia kwa karibu sana,nataman nikajifunze
Shukran sana kwa mtoa uzi
Waungana mm ni GRADUATE QUANTITY SURVEYOR(mkadiriaji gharama za ujenzi)
Pia ni ujuzi kwenye masuala ya cost planning, cost budgeting,BoQ preparation, contract administratin, project management etc..... Msaada jmn km ntaweza kupata company yoyote ya ujenzi nitajitolea for free
Aah kiongozi nmepitia kazi zako uko na talent kubwa sana naona kesho yako ipo juu sana. Mungu akuongoze sahihi kufikia kesho yako.Tupeane mchongo
Tukuze vipaji
Baadhi ya vitu nmeanza kufanya
Hizi ni baadhi ya vitu navyofanya kwa kile nilichobarikiwa na Mungu
Naendelea kuomba support kutoka kwenu [emoji120]www.jamiiforums.com
Karibu sana kiongozi kwenye jamvi hili.Habari
Nnashahada ya mioango na usimamizi wa mazingira na pia nimejitolea katika mashirika binafsi kwa miaka minne 4
Pia nnaujuzi wa vitu vifuatavyo
1.project planning and management
2.monitouring and evaluation
3.Proposal writing
4.data collection and analysis
5. Resoirce mobilozation
6.Community mobilization
7. Environmental Impact assesment
8. Environmental auditing
And ETC
kwa sasa nipo Sumbawanga hivo kama kunamtu anaweza kunipa connection ya ajira/kibarua iwe ya muda mrefu au mfupi niko tayari kwa mida na wakati wowote bila kujari mahali fulsa hiyo ilipo.
Ahsante [emoji120]
UKihitaji translations za hizo articles kutoka kiingereza kwenda Kijerumani tuwasilianeMawazo mazuri! Kama kuna kijana/vijana graduates ktk Mass Communication/Journalism na wana excellent command ya english language naomba wanicheki Inbox! Kuna fursa ya kuandaa “Articles” mbalimbali kwa lugha ya kiingereza! Karibuni.
Ukihitaji site yako ipate ranking nzuri kwenye search engine tuwasiliane ila kuanzia mwezi ujaoKwa ambaye hata jali kuna site nimeianzisha ni mpya ambayo nategemea pia kuitangaza kupitia social networks kwa kurun ads.Site hii nimeitengeneza kwaajili ya watu kupeana michongo,kivipi?
Ni site ambayo unajisajili bure kisha unaandika huduma/service unayoitoa na kujaza details zote muhimu.Kwahyo mtu yeyeote ambaye anashida na huduma/utaalamu kama huo ataweza kuona na kisha kufanya mawasiliano nawewe mhusika.Site hiyo iko chini hapa sautipesa.com
Hata Mimi nimeandika humu Mara nyingi kuhusu crypto lakini mwitikio mdogo sijui tatizo ni nini. Majuzi tu nimeandika kuhusu Presearch na wiki mbili tu baadae thamani yake imepanda zaidi ya mara mbili. Watu walidharau Bitcoin hivihivi Sasa haikamatiki Tena.Shukran nadhan ingependeza zaidi ukatoa maarifa ili wahitaji wachangamkie fursa.
Kama vivutio gani?Free call 21000 (miaka 3)
GB 72 20000 ( mwaka mmoja//)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huduma zote malipo baada ya kazi kwa uwa
Habarini wakuu, mimi nina uzoefu mkubwa kwenye biashara ya vivutio asilia na vitu vya kuongeza ili kupata wateja,kwa anaehitaji kuinvest Dodoma na yuko serious anicheki kwa 0762952784.unawekeza kwa gharama ndogo na kupata return within muda mfupi.View attachment 1964143View attachment 1964145View attachment 1964146View attachment 1964147
kala zinatofautiana
Article za phoenix na opera ni article za aina gani?Mi naomba kazi jmn kwa mwenye connection ya waandishi wa article za kiswahili kama phonix ,opera na nyingine nyingi za kiswahili , nambeni kwa anaejua aniunganishe nami niandike articles zangu huko, nisaidieni jamani sina ajira
Naona huwa kiswahiliArticle za phoenix na opera ni article za aina gani?
www.tebethamentors.comHabari wapendwa nlikuwa naulizia kama kunamtu anajua jinsi ya ku apply scholarship process zote.. anitafute au kama unajua sehem wanapo apply
Full scholarshipwww.tebethamentors.com
Hawa wapo ukonga dsm
mkuu naomba niwe kijana (msaidizi) wako tafadhali nakuomba nisaidie.Wakuu kwema?kama jina langu linavyojionesha nafanya welding & aluminium
Natengeneza madirisha ya chuma na ya alluminium hata mikoan tunafanya kazi karibuni
0656434650