Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
AiseeVyuma vimekaza, kubalini DP world ituokoe
Umeomba?? Omba uone kama utanyimwa.Wakuu,
Sifa zangu; leseni ya udereva class A,B,C1,2,3 na D, degree ya Human Resource management, pia nilipiga course ya computer applications chuo na O level (form 1-4) nilisoma Information Technology
Naombeni connection ya kazi yoyote ile, lakini pia nikipata connection ya Migodini nitashukuru,kwa mfano,naona Anglo gold Ashanti wametoa nafasi kibao
Hellow, nimeomba sana toka mwaka jana huwa nakosa,Madam.Umeomba?? Omba uone kama utanyimwa.
Nani kakwambia hizo habari. Naomba nikupinge. Kazi ipo na unaweza kupata. AMUA SASA.Hellow, nimeomba sana toka mwaka jana huwa nakosa,Madam.
Tatizo Experience naona
Sawa,ninaandaa barua sasaNani kakwambia hizo habari. Naomba nikupinge. Kazi ipo na unaweza kupata. AMUA SASA.
Leta link yao nasie tuzisome hizo fursaSawa,ninaandaa barua sasa
Leta link yao nasie tuzisome hizo fursa