Uzi kwa ajili ya kupeana ujuzi jinsi ya kujipatia kipato kila siku

Joined
Dec 20, 2016
Posts
96
Reaction score
115
Kwema wana jukwaa mko njema
Mimi,ni muhanga wa kukosa ajira nakuja mbele yenu kupewa muongozo kwa wajuzi wa mtaani
Ni jinsi gani mbinu,gan wanatumia kupata riziki ya kila siku na kutimiza majukumu mbalimbali kama chakula kodi na mambo mengine
Nahitaji connection ya mchongo wowote niko dsm
Contact 0745000157
 
 
Una UJUZI gani, na upo dar sehemu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…