Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ndiyo tayari ushalitaja hilo nenoHuu uzi mpaka uishe hautakosa neno ‘nyeto’
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tayari ushalitaja hilo nenoHuu uzi mpaka uishe hautakosa neno ‘nyeto’
Kwa hiyo ndiyo tuseme umekuja kunianika humu!
ukiendeleza maneno natuma na picha yakoKwa hiyo ndiyo tuseme umekuja kunianika humu!
Sijui kama unafahamu huwa tunatumia vest kuchuja chai ama vichupa vya deodorant huwa tunavitumia kuhifadhia chumviAcheni kufuta sahani kwa kutumia mapazia....
Acheni kunywa maji kwenye jagi, tumieni glass...
Futeni buibui ndani
Mbona myie mnanuka kisamaki hatusemiBadilisheni boxer izo mkiinama zinatia kinyaa
🙌🙌🙌 Salute grand marshall tuko pamojaSalute field marshal👊 mimi hapa ni Grand marshal
Basi yaishe mamaukiendeleza maneno natuma na picha yako
sio mbaya ukaanzisha uzi wa ma spinster huu ni wa mabachelaaaa,,, relax without contaminationMbona myie mnanuka kisamaki hatusemi
Tukiwapiga doggy style mnatoa harufu za vinyeo...hamtawazi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijui kama unafahamu huwa tunatumia vest kuchuja chai ama vichupa vya deodorant huwa tunavitumia kuhifadhia chumvi
WinnerBasi yaishe mama
OkWinner
Ukweli lazima usemwe kwenye uzi huu huu kama wewe ulivyoanzasio mbaya ukaanzisha uzi wa ma spinster huu ni wa mabachelaaaa,,, relax without contamination
😂😂Sasa si muoeOkay me nitaanza na changamoto:
(1) Usafi unatutesa sana. Kuanzia usafi wa nyumba, nguo na mashuka/mapazia.
Solution:
Kumpa mama fua nayo risk kwasababu wale wanafanya usafi hadi wa mwili ukileta nyege unakuta umemla.
Ukiwa na pesa nunua washing machine na vacuum cleaner. Vinasaidia sana.
Na kamwe, usilie chips ghetto na kama unapika usiseme vyombo nitaosha kesho.
Mende wanatusumbua. Unakuta ukiwa peke yako hawaonekani ila punde wageni wakija those fuckers zunaruka ruka na mabawa sebuleni ova vipepeo.
Hapa hapa pia kuna issue ya kupanga ghetto, aisee tunakuaga na maghetto ya ovyo sana. Yaan utakuta sehemu ya nguo safi na chafu haijulikani na siku nyingine unakuta sox jikoni, Sufuria kwenye kochi.
(2) Tatizo la pili kubwa ni msosi. Bachelor tunakula vibaya sana especially msosi wa jioni.
Hii wahanga wakuu ni sisi ambao hatupiki, aisee maisha aya.
Me naomba serikali itusaaidie. Asante.
Mwenyekiti dronedrake katukataza.😂😂Sasa si muoe
jitahidi kumpea uyo mams pesa aweze pata deodorant ata sabun nzur ajisafishe vizur kwaajili ya afya yako mlaji,,sasa nawewe ni njaa kukuzidia adi ule chakula kichafu,,au unachukua madada poa wa bei nafuu!!?Ukweli lazima usemwe kwenye uzi huu huu kama wewe ulivyoanza
Basi mtapata hadi funzaMwenyekiti dronedrake katukataza.