HUKU ABROAD
Senior Member
- Nov 20, 2020
- 127
- 218
Nimeanza maisha , sina mwenza wa kuishi nae , uwezo wa kugharamia ninao , ila tu nataka mwanamke ambae anaweza kupika na kufua nguo vizuri ... nikifanikiwa kumpata nitamsaidia kwa hali na mali ..
ikiwezekana ntamfundisha na kazi ili asikae kizembe ..
Kama kuna mdada yupo single .. basi uzi hu wako njoo dm tuyajenge
ikiwezekana ntamfundisha na kazi ili asikae kizembe ..
Kama kuna mdada yupo single .. basi uzi hu wako njoo dm tuyajenge