Huyo ni mke au house maid?nitamlipa laki moja kila mwisho wa mwezi ili mambo yake madogo madogo yasimsumbue kama kwenda saloon na mambo mengine hiyo ni tofauti na pesa ya kula na matumizi ya nyumbani
Ila mabonge wakiamua kukunyoosha wanaweza dada anguKumbe hapo shida sio huo ubonge, nitabia yake yakukupiga pole mkuu.
Na je hiyo laki moja itakuwa inapanda katika kila mwaka mpya wa fedha au miaka yote itabakia hapo?nitamlipa laki moja kila mwisho wa mwezi ili mambo yake madogo madogo yasimsumbue kama kwenda saloon na mambo mengine hiyo ni tofauti na pesa ya kula na matumizi ya nyumbani
Nimeanza maisha , sina mwenza wa kuishi nae , uwezo wa kugharamia ninao , ila tu nataka mwanamke ambae anaweza kupika na kufua nguo vizuri ... nikifanikiwa kumpata nitamsaidia kwa hali na mali ..
ikiwezekana ntamfundisha na kazi ili asikae kizembe ..
Kama kuna mdada yupo single .. basi uzi hu wako njoo dm tuyajenge
Jifunze kupigana aisee dada ako nakushauri.Ila mabonge wakiamua kukunyoosha wanaweza dada angu
ohhh mambo yatabadirika taratibu , ntakuwa na mpango maalum ambao ntatoa pesa ya biashara ambayo itazunguka na faida yake ndio itakuwa pesa yake , so kuhusu kupanda pesa itapanda kila sikuNa je hiyo laki moja itakuwa inapanda katika kila mwaka mpya wa fedha au miaka yote itabakia hapo?
ahahahahah umenichekesha sana .. kwahiyo niipata mwengine nae atanipiga kwani ?Jifunze kupigana aisee dada ako nakushauri.
Ndiyoahahahahah umenichekesha sana .. kwahiyo niipata mwengine nae atanipiga kwani ?
Sasa kama ushapigwa unadhani kwanini usipigwe tena .Mapenzi sio yawatu dhaifu.ahahahahah umenichekesha sana .. kwahiyo niipata mwengine nae atanipiga kwani ?
[emoji28][emoji28]Ndiyo
Na sifa zote alizotaja unazoWeka picha mkuu nifanye tathmini
Being kimbau ni sifa kuu 🤣Na sifa zote alizotaja unazo
ugomvi mwingi unatokea kwa sababu ya wivu na sio chengine , mi ni mtu sipendi kuonja onja kila sehem , napenda nionje sehem moja alafu nna ganda hapo happo kama sumaku .. sasa mwenzangu hana uaminifu na mimi kabisaSasa kama ushapigwa unadhani kwanini usipigwe tena .Mapenzi sio yawatu dhaifu.
Aisee basi sawa .ugomvi mwingi unatokea kwa sababu ya wivu na sio chengine , mi ni mtu sipendi kuonja onja kila sehem , napenda nionje sehem moja alafu nna ganda hapo happo kama sumaku .. sasa mwenzangu hana uaminifu na mimi kabisa
simu yangu alikua anakaa nayo nikiwa nae nyumbani
, ali kuwa anapokea simu zangu zote
Naona sasa umeshajua kwanini natafuta mchumba ehhAisee basi sawa .
Na kupika ndio kumelala hapo, uwii mtoa mada ashindwe yeye tuBeing kimbau ni sifa kuu 🤣
Alafu wachumba hawatafutwi wewe sijui unakwama wapi ?Naona sasa umeshajua kwanini natafuta mchumba ehh
njoo tuyajenge basi kama upo availableAlafu wachumba hawatafutwi wewe sijui unakwama wapi ?
Kwa hiyo laki moja uliyosema hapanaa mkuunjoo tuyajenge basi kama upo available