Mhhhh sishiki cm ya mtu mieee! Km huyo wangu cku utayomuuliza any thing kuhusu m.mke flan labda mbona nmekuona nae anataka nn na vitu km ivo..bas ujue ndo atasusa kula atachelewa nyumbani nitanuniwa km mm ndo mwenye kosa! Haya naanzaje kuspy c ndo atahama nyumba kabisaaa kwa ntayomkuta nayo! Mmmh sishiki cm ya MTU mieeeee
Unataka ugomvi na watu wewe,watu wengi hawajaoa mabikra
Astaghafurulilah... Pole sana!Mhhhh sishiki cm ya mtu mieee! Km huyo wangu cku utayomuuliza any thing kuhusu m.mke flan labda mbona nmekuona nae anataka nn na vitu km ivo..bas ujue ndo atasusa kula atachelewa nyumbani nitanuniwa km mm ndo mwenye kosa! Haya naanzaje kuspy c ndo atahama nyumba kabisaaa kwa ntayomkuta nayo! Mmmh sishiki cm ya MTU mieeeee
Nakuhack Dada yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]ngoj kwanz
Aisee nmejaribu bwana yaliyonikita .. Ndo natoka hospital sa hiviSiwezi jaribu hii kitu.... Najifahamu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji298]
Yaliyonikuta mkuu aisee .... Ndo natoknatoka hospital as hiviNgoja nimvizie mchepuko wangu nione mbivu na mbichi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee nmejaribu bwana yaliyonikita .. Ndo natoka hospital sa hivi
Yaliyonikuta mkuu aisee .... Ndo natoknatoka hospital as hivi
Hyo app ya bure haipo perfect sana,unaweza usione kitu kabisaMbn naambiwa no records katika kila sehem na nlifata procedure zote..
Hyo app ya bure haipo perfect sana,unaweza usione kitu kabisa
Zile premium ndio zinafanya kazi vizur..lazima ulipie madolari kadhaaDah inawezekana maan najaribu mara nyingi lakin inaonesha hamna kitu while nliiweka kwenye sim ya mlengwa kwa kufata maelekezo yote sahihi..
Zile premium ndio zinafanya kazi vizur..lazima ulipie madolari kadhaa