Uzi kwa wale wenye roho ngumu tu..

Mhhhh sishiki cm ya mtu mieee! Km huyo wangu cku utayomuuliza any thing kuhusu m.mke flan labda mbona nmekuona nae anataka nn na vitu km ivo..bas ujue ndo atasusa kula atachelewa nyumbani nitanuniwa km mm ndo mwenye kosa! Haya naanzaje kuspy c ndo atahama nyumba kabisaaa kwa ntayomkuta nayo! Mmmh sishiki cm ya MTU mieeeee
 

Huu uzi hukutakiwa kuufungua[emoji3][emoji3]
 
mtu pekee wa kujipa amani ya moyo na furaha ya kudumu ni wewe mwenyewe....
ukiamini furaha yako ipo kwa mtu mwingine u're deadly wrong......
 
Si mke wako, wa kupika na kupakua!
Una haki ya kujua kama kuna uchafu anaofanya
 
Astaghafurulilah... Pole sana!
 
Siwezi jaribu hii kitu.... Najifahamu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji298]
Aisee nmejaribu bwana yaliyonikita .. Ndo natoka hospital sa hivi
 
Dah inawezekana maan najaribu mara nyingi lakin inaonesha hamna kitu while nliiweka kwenye sim ya mlengwa kwa kufata maelekezo yote sahihi..
Zile premium ndio zinafanya kazi vizur..lazima ulipie madolari kadhaa
 
huyu alitoa huu Uzi anataka aniharibie nyumba maana mama mwenye nyumba hupenda kuingia Mara kwa Mara jf dah je akikuta hii mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…