Jeceel
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 1,476
- 3,093
Mimi naendelea kuwashauri wanaume wenzangu, kama ulimkuta mkeo na bikra Fanya hivyo mchunguze unavotaka lakini kama hukumkuta na hiyo bikra, tambua mke alitolewa bikra na kidume Fulani ndicho ambacho kimekutengenezea njia ya kupita so, usiwe na hasira na haina maana kumchunguza. Maana ulikubali kumuoa akiwa hivyo