Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,859
- 3,008
- Thread starter
- #141
Hili la virus inategemea na version uliyochukua, ni kweli kuwa baadhi ya version zinakuja na virus na kusababisha simu kuwa nzitoNshawahi kuifanya hii kitu tatzo hii apps unaitumia for 7day's free then utailipia na shida nyingine huwa inasababsha virus kwa wngi kwny cm na kupelekea cm kuwa nzto had ureboot cm na hili pia mlijue kwa wataohtaji.