Uzi kwa wale wenye roho ngumu tu..

tatizo ss hizi ndoa zetu za kikristo mzee, ukishaingia kutoka ngumuu ss si bora tu uwe mpole au mkanyane yaishe...sometimes the less you know the better chief.
Nimekupata mzee baba.
 
Uko sawa kabisa mkuu
 
nilitumiaga app moja miaka ya nyuma kidogo... kila baada ya dakika sms... sema una hitaji kuwa kama usalama wa taifa una mpeleleza mtu bila yeye kujua... una fanikiwa vizuri, juzi naulizwa ulinitrack ktk simu yangu nika mjibu ndio, akauliza kwa nini? nika mjibu nilipenda kufanya hivyo...

nami nika muuliza ulikuwa una fanya yasiyo sahihi mbona kama una wasiwasi, akajibu hapana nika mpa jibu moja kuhusiana na udukuzi, alikuwa mpole...

udukuzi ni mzuri kufahamu mwenzio ana endeleaje... maisha haya tunayo ishi ni halisi au tuna act, je nikiwekeza hapa nitalipa au nika wekeze kwa wazazi wangu... wewe ni kudukua na kutunza siri zako kama jasusi... ukiwa na moyo wa plastiki usijaribu...
 
hii app. ni nzuri ila inakaa siku 3 tu inakuhitaji uilipie. hapo ndo mziki
 
Itategemea na aina ya mwenzi uliye naye,kuna watu huwezi kuwajua tabia hadi ufuatilie mawasiliano yake hata kama sio kwa installed application hata manually,ila jikaze usiulize chochote,jifanye hujawahi kushika simu tumia akili ya kuzaliwa ile Rais Kikwete alituambiaga tuchanganye.
 
Reactions: SDG
Upo sahihi kabisa, ukijua na akafahamu kwamba umejua itampa hofu na pengine kumpelekea kupunguza au kuacha kabisa.
Labda itaapply kwa wanawake hiyo, coz we can't afford kuachika. Ila kwa wanaume wengi unless Mungu kakupendelea umepata mume haswa ambaye unaweza kuongea naye juu ya usaliti wake. Majority utageuziwa kesi babkubwa hadi utaishia kuomba msamaha wewe teh "kwa nini umeshika simu yangu" mweeh anakuwakiaaa eti anasusa na kuondoka hehehe. Hapo anaweza kukuzuga kaliacha goma lake after few days wanarudiana au anatafuta goma jipya. Mwisho wa siku mke anazoea tu, anajiunga kikundi pendwa cha "sishiki simu yake, naogopa yaliyomo"[emoji33] [emoji33]
 
Watu wanaogopa vivuli vyao
Hawaangalii athari ya maradhi sababu ya uchepukaji. Mimi nakudukua vizuri tuu na nikikuta unatabia za kugongwa ndo end if story..stak maukimwi ya kuletewa kiboya.
 
[emoji13] [emoji13] nakuja[emoji125] [emoji125]
[emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji122] [emoji122] [emoji122] can't wait to see you there... Ila usipokuja nakuota tena... Maamiti....!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] yeah, kwa wanawake inakuwa applicable zaidi ila kwa mwanaume unaweza pewa na talaka ya kusindikizia ugunduzi wako!!!
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] yeah, kwa wanawake inakuwa applicable zaidi ila kwa mwanaume unaweza pewa na talaka ya kusindikizia ugunduzi wako!!!
Haha utapewa talaka ukafundwe vizuri kwenu. Shikamoo mfumo dume
 
Simu yangu ni yangu na yke ni yke..huo upuuzi sina mda nao
 
Ndio maana kuna mtu kasema inafaa kwa wapenzi na sio kwa wanandoa. Ukiachika kwa mpenzi kwa sababu kama hiyo si inakuwa kakunyima mbaazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…