Nimekupata mzee baba.tatizo ss hizi ndoa zetu za kikristo mzee, ukishaingia kutoka ngumuu ss si bora tu uwe mpole au mkanyane yaishe...sometimes the less you know the better chief.
[emoji7]Ndio maana tunapendana kumbe tunafanana mambo mengi
Uko sawa kabisa mkuuHII NI NZURI KTK KUMSPY MPENZI NA SYO MKE.
MPZ UNAMSPY ILI ANGALAU UMPATE WA NAFUU KITABIA KIDOGO.. LAKN MKAMILIFU HAPATKAN
NIKSHAOA, SIWEZ KUMSPY.. MANA UNAWEZA KUTA SMS ANAMSFIA MWANAUME MWENZIO KUWA ANAMKUNA VZURI KULIKO WEWE AU ANAMTATUA MARINDA.. C UNAWEZA KUJIUA KM YULE JAMAA WA MBEYA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu njoo pm tubadilishane number nikwambie kituWewe usijekuwa unajisevia mimi niko usingizini kama bibi Tina[emoji13] [emoji13] usifanye hivyo bwana uwe unaniamsha tuinjoi wote
[emoji13] [emoji13] nakuja[emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu njoo pm tubadilishane number nikwambie kitu
Asante [emoji4]Nimekupata mzee baba.
Labda itaapply kwa wanawake hiyo, coz we can't afford kuachika. Ila kwa wanaume wengi unless Mungu kakupendelea umepata mume haswa ambaye unaweza kuongea naye juu ya usaliti wake. Majority utageuziwa kesi babkubwa hadi utaishia kuomba msamaha wewe teh "kwa nini umeshika simu yangu" mweeh anakuwakiaaa eti anasusa na kuondoka hehehe. Hapo anaweza kukuzuga kaliacha goma lake after few days wanarudiana au anatafuta goma jipya. Mwisho wa siku mke anazoea tu, anajiunga kikundi pendwa cha "sishiki simu yake, naogopa yaliyomo"[emoji33] [emoji33]Upo sahihi kabisa, ukijua na akafahamu kwamba umejua itampa hofu na pengine kumpelekea kupunguza au kuacha kabisa.
[emoji115] [emoji115] [emoji120] [emoji120] [emoji122] [emoji122] [emoji122] can't wait to see you there... Ila usipokuja nakuota tena... Maamiti....!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji13] [emoji13] nakuja[emoji125] [emoji125]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] yeah, kwa wanawake inakuwa applicable zaidi ila kwa mwanaume unaweza pewa na talaka ya kusindikizia ugunduzi wako!!!Labda itaapply kwa wanawake hiyo, coz we can't afford kuachika. Ila kwa wanaume wengi unless Mungu kakupendelea umepata mume haswa ambaye unaweza kuongea naye juu ya usaliti wake. Majority utageuziwa kesi babkubwa hadi utaishia kuomba msamaha wewe teh "kwa nini umeshika simu yangu" mweeh anakuwakiaaa eti anasusa na kuondoka hehehe. Hapo anaweza kukuzuga kaliacha goma lake after few days wanarudiana au anatafuta goma jipya. Mwisho wa siku mke anazoea tu, anajiunga kikundi pendwa cha "sishiki simu yake, naogopa yaliyomo"[emoji33] [emoji33]
Mkuu wewe si unamroga tu akichukua simu yko achunguze anaona giza tuSiwezi jaribu hii kitu.... Najifahamu[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji621] [emoji298] [emoji298]
Sitaki kufika hukoMkuu wewe si unamroga tu akichukua simu yko achunguze anaona giza tu
Haha utapewa talaka ukafundwe vizuri kwenu. Shikamoo mfumo dume[emoji28] [emoji28] [emoji28] yeah, kwa wanawake inakuwa applicable zaidi ila kwa mwanaume unaweza pewa na talaka ya kusindikizia ugunduzi wako!!!
Ndio maana kuna mtu kasema inafaa kwa wapenzi na sio kwa wanandoa. Ukiachika kwa mpenzi kwa sababu kama hiyo si inakuwa kakunyima mbaaziLabda itaapply kwa wanawake hiyo, coz we can't afford kuachika. Ila kwa wanaume wengi unless Mungu kakupendelea umepata mume haswa ambaye unaweza kuongea naye juu ya usaliti wake. Majority utageuziwa kesi babkubwa hadi utaishia kuomba msamaha wewe teh "kwa nini umeshika simu yangu" mweeh anakuwakiaaa eti anasusa na kuondoka hehehe. Hapo anaweza kukuzuga kaliacha goma lake after few days wanarudiana au anatafuta goma jipya. Mwisho wa siku mke anazoea tu, anajiunga kikundi pendwa cha "sishiki simu yake, naogopa yaliyomo"[emoji33] [emoji33]
Kuna gazeti nliona title...Haha utapewa talaka ukafundwe vizuri kwenu. Shikamoo mfumo dume