ven1965
Member
- May 11, 2018
- 74
- 143
Habari za wakati huuu wana JF . poleni na mihangaiko ya hapa napale.
bilakuopteza muda niende kwenye mada moja kwa moja.
Huduma za mitandaooo hapa nchini zimekuwa nachangamoto mbalimbali saaana kuanzia huduma za mawasiliano mpaka za kifedha . kwanamna moja ama nyingine wahusika wanakuwa wazito kutatua changamoto hizo.Hivo basi huu uzi utasaidia kuzipigia kelele changamoto hizo mpaka zitatuliwe na ziiishe kabisa na hiii itasaidia katika kuboreka kwa huduma za kimitandao nchini.
Naomba kuwasilisha
bilakuopteza muda niende kwenye mada moja kwa moja.
Huduma za mitandaooo hapa nchini zimekuwa nachangamoto mbalimbali saaana kuanzia huduma za mawasiliano mpaka za kifedha . kwanamna moja ama nyingine wahusika wanakuwa wazito kutatua changamoto hizo.Hivo basi huu uzi utasaidia kuzipigia kelele changamoto hizo mpaka zitatuliwe na ziiishe kabisa na hiii itasaidia katika kuboreka kwa huduma za kimitandao nchini.
Naomba kuwasilisha