davejillaonecka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 697
- 749
Hahaha...hizo zote nimekutana nazo na haswa kwa sisi mafundi computer ... Utasikia "fundi naomba usibadilishe chochote humo ndani maana nyie mafundi matapeli kama nin". Mara nyingi mteja akitoa maneno ya kunikera huwa namwambia tu achukue akatengeneze kwengine.