Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Habari wananchama na wasio wanachama.
Nimeamua kuleta huu uzi kama haupo unaofanana nao tuweze kujadili
1. Kodi/tozo/ushuru kandamizi ziweze kuondolewa
2. Maoni juu ya namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato
3. Namna za ukwepaji wa kodi/ushuru/tozo na kuweza kudhibiti.
4. Tukumbushane pia kodi za zamani
Nimeamua kuleta huu uzi kama haupo unaofanana nao tuweze kujadili
1. Kodi/tozo/ushuru kandamizi ziweze kuondolewa
2. Maoni juu ya namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato
3. Namna za ukwepaji wa kodi/ushuru/tozo na kuweza kudhibiti.
4. Tukumbushane pia kodi za zamani