hahaha naona unataka kujua ID za watu[emoji16] [emoji16]Wakuu kama una Ndugu, jamaa na rafiki ambaye ulipotezana nae, hamjaonana kipindi kirefu na huna mawasiliano nae huu ni uzi wako.
Wanaweza wakawa ni jamaa na marafiki uliosoma nao, uliofanya nao kazi, mliokutana kwenye semina, na maeneo mengine.
Karibuni sana!
Mkuu nimewasaidia watu wenye changamoto hizoMbona wewe huja wataja ulio potezananao, au umewafungulia watu Uzi.
Onyesha mfano kiongizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kama una Ndugu, jamaa na rafiki ambaye ulipotezana nae, hamjaonana kipindi kirefu na huna mawasiliano nae huu ni uzi wako.
Wanaweza wakawa ni jamaa na marafiki uliosoma nao, uliofanya nao kazi, mliokutana kwenye semina, na maeneo mengine.
Karibuni sana!
Kuna mtu anatafutwa hapahahaha naona unataka kujua ID za watu[emoji16] [emoji16]
n0 r0se with0ut th0rn
Ndiyo lengo lake.hahaha naona unataka kujua ID za watu[emoji16] [emoji16]
n0 r0se with0ut th0rn
Tena na polisiKuna mtu anatafutwa hapa
Watu mna akili ya kuona mbali, mi wazo langu lote lilikuwa kumwaga wino lakini nilipoona hii sms akili ikafunguka [emoji3] [emoji3]hahaha naona unataka kujua ID za watu[emoji16] [emoji16]
n0 r0se with0ut th0rn
Mkuu yaani hapa ndo hupati mtu kwa mwendo huo[emoji12]Midume shupa ya Dar,
Waoga Kama fisi, sasa hujamkosea mtu unajishtukia nini sasa,
Yaone kwanza yalivyo ndo mana yanaongozwa na Bashite
Midume shupa ya Dar,
Waoga Kama fisi, sasa hujamkosea mtu unajishtukia nini sasa,
Yaone kwanza yalivyo ndo mana yanaongozwa na Bashite