kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Mkuu nimecheck hapa kundi la Ivory coast na Morocco hakuna aliyepita wanasubiri wauwane mechi za mwisho hivyo hivyo kwa Tunisia na Algeria ingawa mbwea wa jangwani nafasi yao ni finyu sana hope Tunisia wanaweza kupita,Sina hakika nipe muda nicheck nakujulisha