Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wakuu naomba tupeana uzoefu hapa kwa sie tuliowahi kuibiwa simu,,
Ilikuaje ukaibiwa , ulijisikiaje na ulireact vipi hii itapelekea kujifunza namna ya kuepuka kuibiwa tena na namna ya kufanya baada tu ya kugundua ushaibiwa.
Binafsi mwishon mwa mwezi June mwaka huu niliibiwa sim LG G5 , niliacha chaji sehem isiyo salama ikabebwa. Nilichanganyikiwa na mpaka Leo bado nina maumivu.
Ilikuaje ukaibiwa , ulijisikiaje na ulireact vipi hii itapelekea kujifunza namna ya kuepuka kuibiwa tena na namna ya kufanya baada tu ya kugundua ushaibiwa.
Binafsi mwishon mwa mwezi June mwaka huu niliibiwa sim LG G5 , niliacha chaji sehem isiyo salama ikabebwa. Nilichanganyikiwa na mpaka Leo bado nina maumivu.