Uzi maalum kwa 'vitu used'

Pm mkuu mawasiliano yapo
mkuu ushauli tu uwatendei watu.haki wewe ni mfanya biashara na sio mbabaishaji umefungua uzi mzuri tu ila uweki mawasiliano yako uwoni kama unakosea mana adi ujeona pm sms ya mteja uwoni utakua ushamnyima.nafasi mnunuaji na mie nakujua ww mana instagram umeweka mawasiliano kule na uku unawaambia waje pm inakua aisaidii zote ni platform hizi za kufanya biashara wafanyie kama unavyofanya katika insta page yako japo bei za uku unaweka zimechangamka kuliko kule ila ndo biashara ulia hii ni wazo tu nawasilisha.
 
Mkuu umetelekeza uzi, nilihitaji star time ya antena ulisema unacho ukanipa na bei, nipe direction nikifuate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…