Uzi maalum kwa 'vitu used'

Uzi maalum kwa 'vitu used'

Inahitajika subwofer au home theatre 300w
Offer yangu 100000
Nipo Iringa
 
Uzi safi sana, ila mwenye uzi jitahidi kutambua lugha za wateja na uwavumilie ndio biashara ilivyo!
 
Nauza simu Samsung J1 ace
Haina tatizo lolote kabisaaa
Inauzwa kwasababu kuna simu mpya kubwa imenunuliwa
Earphones zake zimeharibika
Kuna simu, chaja na cover la nyuma.

Pia ina glass protector ambayo ina nyufa ndogondogo
Bei laki 120
Kama upo Dar sehemu ambako panafikika kirahisi nitakuletea mzigo ulipo

Mawasiliano 0652884040
1.jpg
2.jpg
3.jpg
4.jpg
 
Hello nina vitu vya saluni hapa
Kuna kiti cha mteja kunyolewa
Na wateja kusubiri wanakaa watatu
Na mashine aina ya wahl
Na feni size ya kati
Call/txt;0712654515
 

Attachments

  • FECD15E8-B5A2-4475-91B1-CD7051A7FB5D.jpeg
    FECD15E8-B5A2-4475-91B1-CD7051A7FB5D.jpeg
    383.7 KB · Views: 61
"INAUZWA"
Kabati ya TV, imetengenezwa kwa mbao ya mninga.
Inakaa tv ya inch 32 au 40, pia ina sehemu ya kuweka subwoofer.
Bei 200k
Ukihitaji unaweza ukani PM
image.jpg
image.jpg
 
"INAUZWA"
Sofa ya soft leather
Ipo seti moja ya kukaa watu saba
Iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana
Bei ni 900k
Ukihitaji unaweza ukani PM
image.jpg

image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    237.3 KB · Views: 74
"INAUZWA"
Feni ya Evernal
Iko kwenye hali nzuri
Bei 30,000
Ukihitaji unaweza ukani PM
image.jpg
 
Mwenye tablet anicheki bajet 150,000 hata isiyo tumia line poa. 0625711384 whatsapp
 
Ninatafuta mini projector inayofanya kazi vizuri. Kama kuna alienayo PM tafadhali
 
Niu
Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya kuuza vitu used especially vitu vya ndani..pia ikumbukwe gharama ya vitu used inakuwa nafuu kwa mnunuaji

Kama hali ilivyo kuwa ngumu.kuna wengine wanakimbia mjini na kuuza vitu vya ndani, wako wanaobadilisha furniture na kuweka mpya na wanaohama kikazi au kwa sababu maalum

Huu ndio utakuwa Uzi wetu Wa kutangaza vitu tunavyouza pia Kama unahitaji unaweza kusema wadau wakatafuta

Kitanda ,godoro, meza, stuli, friedge,tv,radio,deki, kabati la nguo na vyombo, zulia, sofa, pasi, jiko la gas na umeme ,vyombo vya ndani, vyombo vya maofisini n. K

Utaratibu utakuwa; utaweka kitu unachouza yaani picha ya bidhaa yako na bei yake ukiweza kuandika namba ya simu itakuwa vizuri zaidi na mahali ilipo bidhaa

Kama una usafiri Wa bure kwa mteja (free delivery) utatuambia wanajukwaa..huu uzi kwa ajili ya wauzaji na wanunuaji wa kweli kama hauko serious tuache wenye kuelewa vitu used ..au wanasema asiyehusika na shoo akae pembeni


Sofa la L 360,000
Dryer 200,000@1
Kabati la nguo mbao ngumu200,000
Friedge hotpoint480,000
Bakuli2000@1
Glass4000
Sahani3000@1
Tvshowcase230,000
Brenda60,000
Jiko pamoja na mtungi wake220,000

Vyote vinapatikana tabata bimaView attachment 865975View attachment 865976View attachment 865977View attachment 865978View attachment 865979View attachment 865980View attachment 865982View attachment 865983View attachment 865984View attachment 865986View attachment 865987View attachment 865990View attachment 865991
Niuzie me mtungi was ges
 
Back
Top Bottom