SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Mungu ni nomino ya dhahania kama njaa, wewe unaweza kuiita njaa ikajaMwambie huyo Mungu wako unayedai yupo aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.
Kwa nini una hangaika kumtetea na kumwelezea?
Hizo fact unazozielezea kisayansi hiyo elimu umeitoa wapi means umeisoma wapi? Na nani alikujuza kuhusu neno science? Je mababu zako wa millenia huko usukumani wanalielewa hilo neno science automatically au hadi ukawafundishe?Sasa elimu ya mazingira ni ya wazungu tu?
Theology ni elimu kuhusu Mungu na Dini.
Ambapo hata mababu zetu wa kiafrika walikuwa na Theology zao kuhusu dini zao na Miungu yao.
Hivyo kusema Sayansi na Theology ni vya mzungu ni UONGO.
Njaa haiwezi kuja kwa vile haipo katika uhalisia bali katika dhana ya kufikirika tu.Mungu ni nomino ya dhahania kama njaa, wewe unaweza kuiita njaa ikaja
Je kwakuwa haiwezi kuja haipo?
Mimi babu yangu hakuamini Mungu bana babu yangu aliamini Mizimu na matambiko ambayo siyo MunguSasa elimu ya mazingira ni ya wazungu tu?
Theology ni elimu kuhusu Mungu na Dini.
Ambapo hata mababu zetu wa kiafrika walikuwa na Theology zao kuhusu dini zao na Miungu yao.
Hivyo kusema Sayansi na Theology ni vya mzungu ni UONGO.
Wataka kuniambia ulaya hawaamini uwepo wa Mungu?Unaingia jamii forums, mada za dini
Mdini: mungu yupo
Atheist: why?
Mdini: coz sijui jua limetoka wapi
Kwa akili hizi mwacheni mwamposa ajaze viwanja vya kawe na acheni china waende mwezini..bongo bado sana
Kama ndio hivyo science pia ni elimu ya uwongo maana inadanganya kuwa kuna upepo wakati upepo haupo ni neno la kufikirika tuNjaa haiwezi kuja kwa vile haipo katika uhalisia bali katika dhana ya kufikirika tu.
Hata huyo Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana ya kufikirika tu.
Sasa huo ukweli utaujuaje 🤔 uku unaambiwa umkiri mtume Muhammad na uku umkiri yesu kristo ndio njia ya mbinguni 🤔To answer this.
Kitu mungu alichompa binadamu ukitofautisha na viumbe wengine ni free will,
Malaika tangu wanaumbwa wao ni kufanya kazi moja tu waliyopewa na mungu, tofaufi na binadamu amepewa uhuru lakini pia smart enough kutafuta ukweli
Human is the best architect of God
Soma historia vizuri waafrica walikuwa na miungu yao waliokuwa wanaiabudu, mfano olodumare, chukwu, ngai, Warumbe, Mukasa, Sangoma n.kMimi babu yangu hakuamini Mungu bana babu yangu aliamini Mizimu na matambiko ambayo siyo Mungu
Mungu tumekuja kufundishwa na wavamizi na ndio maana zile mila za kutambika dini inakataza
Kuna mwenzio anasema science haihitaji kuaminiwa naona wewe umesema waiamini waeza kutolea ufafanuzi kwanini unaiamini?Mimi naamini sayansi na sio Mungu, sayansi inafanya tafiti na inatupatia majibu.. lakini dini tangu zianzishwe zenyewe zimebobea kwenye kutoa sababu, kiongozi wa dini atakwambia, "Hatukucheza vizuri mziki wa mvua kama Mungu anavyotaka, Ili atupatie mvua, ndo maana mvua haijanyesha". Badala ya kukubali tu kuwa huyo Mungu hayupo, na Biblia na Quran ni vitabu vilivyotungwa na wanadamu, wenye imagination tu, lakini sio vya kweli.
Unathibitishaje Mizimu sio Mungu?Mimi babu yangu hakuamini Mungu bana babu yangu aliamini Mizimu na matambiko ambayo siyo Mungu
Mungu tumekuja kufundishwa na wavamizi na ndio maana zile mila za kutambika dini inakataza
Kwa sababu inaweza kuthibitika, ndio maana naiaminiKuna mwenzio anasema science haihitaji kuaminiwa naona wewe umesema waiamini waeza kutolea ufafanuzi kwanini unaiamini?
Mimi naamini sayansi na sio Mungu, sayansi inafanya tafiti na inatupatia majibu.. lakini dini tangu zianzishwe zenyewe zimebobea kwenye kutoa sababu, kiongozi wa dini atakwambia, "Hatukucheza vizuri mziki wa mvua kama Mungu anavyotaka, Ili atupatie mvua, ndo maana mvua haijanyesha". Badala ya kukubali tu kuwa huyo Mungu hayupo, na Biblia na Quran ni vitabu vilivyotungwa na wanadamu, wenye imagination tu, lakini sio vya kweli.
Fuatilia statistics za France, united kingdom Sweden, norways nk kuhusu population inayoamini dini alafu urudi kuniambia.. ukitoka hapo angalia Korea, china, nkWataka kuniambia ulaya hawaamini uwepo wa Mungu?
Science sio Imani, ni kitu halisia, na ndio maana dini na sayansi ni vitu visivyochangamana, sababu dini ni nadharia tu...Mfundishe uyu
Infropreneur
Ajue kuwa science pia ni imani kama ilivyo theology utofauti unakuja kwenye how to verify them
Aliyekwambia sayansi ni imani ni nani?Mfundishe uyu
Infropreneur
Ajue kuwa science pia ni imani kama ilivyo theology utofauti unakuja kwenye how to verify them
Mkuu wewe unaiamini science kama wengine wanavyomuamini MunguIla watu mnaomini mnanishangaza sana, mwanzoni mna Mungu wa aina mbili, wa kwanza hamumjui, hamuwezi kumshika , kumuona Wala kumsikia, Mungu huyu wa kwanza mnamuongelea mkiwa na maswali kama Dunia ilitoka wapi?, kwanini Kuna gravitational force? Au binadamu alitoka wapi?. Afu baada ya hapo mnaleta ujanja, mnamleta Mungu wa aina ya pili, huyu mnamjua sana, mnajua anapenda tufanye nini, tusifanye nn, tule na tusile nn, mnajua anataka tuvae vipi, tumchague nani kama kiongozi wetu, na mnajua pia anavyotaka tufanye mapenzi.
Sasa mi naulza, ni Mungu gani mnamuongelea hapa wa aina ya kwanza au wa pili?
Na mara nyingi dini huwa inaipinga sayansi, kwa maana sayansi imekuja kujibu maswali yaliyokuwa yanajibiwa na dini tu enzi izo mfano, watu walikuwa wanaomba mvua inyeshe, siku iz tunajua mvua itanyesha tu kwa msimu, na hailetwi na Mungu, au zamani kabla ya sayansi ya tiba kugundulika, wagonjwa walikuwa wanaenda kwa wahubiri, ila sayansi siku iz imetuletea hospitali na dawa Bora. Ko sayansi imetokea kui challenge dini na ndio maana mtu wa dini huwa sio rahisi kuamin sayansi.Mfundishe uyu
Infropreneur
Ajue kuwa science pia ni imani kama ilivyo theology utofauti unakuja kwenye how to verify them