uzi maalum kwa wale wenye shida mbalimbali wanaohitaji msaada au ushauri tunduizi

uzi maalum kwa wale wenye shida mbalimbali wanaohitaji msaada au ushauri tunduizi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
nimefungua uzi huu kwa lengo la kutaka kusaidia watanzania wenzangu kwa namna moja au nyingine wale wanaopitia changamoto mbalimbali kwenye maisha na kwamba wanahitaji ushauri au msaada wa aina flani ili kuweza kutatua changamoto hizo.

Kwa wale ambao wataguswa na changamoto za mtu yoyote pia ruhusu kusaidia kwa kupitia uzi huu, Kwahiyo kama unachangamoto yoyote ya kimaisha unahitaji kusaidiwa tafadhali jisikie huru kutueleza wazi kwenye uzi huu ili tuone namna ya tutakavyoweza kukusaidia. KARIBUNI
 
Wakuu ndoto zangu zipo pale pale za kuja kuwa director mkubwa...

Napambania sana ndoto zangu ila mpaka sasa naona ndoto zangu zinaenda kupotea maana Laptop yangu nayotumia kwa kazi haipeleki chaji yaani imezima tuu naitumia kama desktop...

Sasa hapa nahitaji nipate mpya ili nipige kazi za graphic mana naweza sahau..
Asante sana
Ambaye ataguswa na hili anaweza fanya kitu PM yangu now ipo wazi kwa kila mwana jf....
Maana hapo mwazo niliweka on kwa mashangazi tuu
 
Dah! Mtu mzima nimekwama wallahi!

Kuna mwanamke nampenda sana yaani ni ile mno kabisa kabisa wani handredi pasenti. Nimefanya kila njia ili niweze kumtoa moyoni imeshindikana. Nimejaribu hata njia za kunifanya pengine nimchukie (au yeye anichukie) lakini wapi. Nikisikia tu sauti yake mie huyoo hoi dah!

Na huu ni mwaka karibia wa tatu nahangaika. Na wanawake wengine yaani nawaona kama takataka tu hata kama wana vigezo vyote nivitafutavyo; na kuzidi.

Huwa wanasema time is the best doctor ila kwa hili nahisi kama time is doing the opposite...the more time elapses, the more I fall for her deeper and deeper.

Kuna mtu aliyewahi kukutana na hali hii? Yaani unampenda mtu mpaka unakwama kujichomoa? Suluhisho lake ni nini?

Mwanamke mwenyewe anatokea Tanga. Au kaniroga huyu maana kha!🤪

Screenshot_20241220_223354_Instagram.jpg
 
Nimekwama ada ya mwanangu shule, naombeni msaada wenu, ni million moja tu namaliza kila kitu. Natanguliza shukrani za dhati
mkuu inaonekana unamsomesha mwanao kwenye shule ambayo hauna uwezo nayo ningependa kujua mwanao anasoma level gani ? kama ni primary au secondary mpeleke shule za serikali kwasababu hauna kipato kizuri kwa sasa nilikuwa nakushauri hizo hela za ada unge zitumia kuboresha uchumi wako kwa sasa. iwapo kama utahitaji msaada wa million 1 kwa sasa ukalipe ada inamaana utaendelea tu kukosa ada ya siku nyengine na tatizo lako halitaisha.
 
Dah! Mtu mzima nimekwama wallahi!

Kuna mwanamke nampenda sana yaani ni ile mno kabisa kabisa wani handredi pasenti. Nimefanya kila njia ili niweze kumtoa moyoni imeshindikana. Nimejaribu hata njia za kunifanya pengine nimchukie (au yeye anichukie) lakini wapi. Nikisikia tu sauti yake mie huyoo hoi dah!

Na huu ni mwaka karibia wa tatu nahangaika. Na wanawake wengine yaani nawaona kama takataka tu hata kama wana vigezo vyote nivitafutavyo; na kuzidi.

Huwa wanasema time is the best doctor ila kwa hili nahisi kama time is doing the opposite...the more time elapses, the more I fall for her deeper and deeper.

Kuna mtu aliyewahi kukutana na hali hii? Yaani unampenda mtu mpaka unakwama kujichomoa? Suluhisho lake ni nini?

Mwanamke mwenyewe anatokea Tanga. Au kaniroga huyu maana kha!🤪

View attachment 3181228
Sema wee mkuu huwa naheshimu sana mchango wako huku jf....

Mkuu uwe na maisha marefu SANA
Ila kuna msemo wako naona umekua maarufu sana ""kuchapiwa......"""

Nafurahi zaidi ule msemo huwa unaweka.na kapicha kabisa..
Hapo ndo napikuweka katika watu wenye heshima zao hapa jf
 
Nashida million 100 nawaza nitaipataje
 
Back
Top Bottom