JAMII BORA
Member
- Apr 18, 2017
- 78
- 58
Umofia kwenu!!
Kuna muda unamaliza ujenzi na materials yanabaki, unatafuta wa kukurudishia gharama kdogo wakati ambapo kuna mdau anahitaji materials hayo hayo ulobakisha akamilishe jengo lake. Lakini Case ya pili, umemaliza project au kufunga biashara na Asset au materials yanapigwa vumbi tu hasa kipindi hiki tunahitaji pesa za kufidia changamoto za Covid-19,ni vyema ukaweka wazi materials unayohitaji au kubakiza, location yalipo, bei na details zingine utazoona muhimu ili tupunguziane changamoto ya kipato.
Naanza: binafsi, kila mwisho wa mwezi tunakuwa na laptops zimemaliza majukumu hivyo tunauza kwa bei chee mno yaani laki 2, 2 na nusu, 3 . Ukihitaji nicheki kwa 0713039875:
Wadau endeleeni.
Kuna muda unamaliza ujenzi na materials yanabaki, unatafuta wa kukurudishia gharama kdogo wakati ambapo kuna mdau anahitaji materials hayo hayo ulobakisha akamilishe jengo lake. Lakini Case ya pili, umemaliza project au kufunga biashara na Asset au materials yanapigwa vumbi tu hasa kipindi hiki tunahitaji pesa za kufidia changamoto za Covid-19,ni vyema ukaweka wazi materials unayohitaji au kubakiza, location yalipo, bei na details zingine utazoona muhimu ili tupunguziane changamoto ya kipato.
Naanza: binafsi, kila mwisho wa mwezi tunakuwa na laptops zimemaliza majukumu hivyo tunauza kwa bei chee mno yaani laki 2, 2 na nusu, 3 . Ukihitaji nicheki kwa 0713039875:
Wadau endeleeni.