JAMII BORA
Member
- Apr 18, 2017
- 78
- 58
- Thread starter
-
- #21
corei5,hdd 500 kwa 4 gb ram, (500,000/-) , corei3, hdd 320 kwa 4 gb ram( 420,000) na core 2, hdd 160 kwa 2 gb ram (300,000) .Piga 0713039875 kuziwahiNaomba specs za hizo laptop, itakua vizuri kama utanipa high specs ulizonazo kama tatu tuu ili nisikuchoshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu picha tuone muonekano wakecorei5,hdd 500 kwa 4 gb ram, (500,000/-) , corei3, hdd 320 kwa 4 gb ram( 420,000) na core 2, hdd 160 kwa 2 gb ram (300,000) .Piga 0713039875 kuziwahi
Jmani nahitaji kufahamu kuhusu bei za bati nipaue kibanda changu, kutokana na mfuko wangu kuwa mdogo, sina changuo kwa maana nikipata za rangi ambazo ziko ndni ya uwezo wangu sawa nikipata nyeupe simba dumu sawa,..
Metrc tone ya nondo bei gani mkuu!Achana na hivyo vitu vya masaiti tuulize wauzaji wa hardware tunajua..
Sent using Jamii Forums mobile app
Metrc tone ya nondo bei gani mkuu!
Picha ulizoweka zinaonekana ni za GoogleNauza vifaa vya ofisi tunabadili biashara ,kuna meza 2 za plastic @ elf 70, kuna viti 3 vya plastic @10,000 na laptop moja ya laki 3.Nicheki kwa 0713-039875
Mcheki kwa simu hapa mtu anaweka dondoo tu
Kuanza kuchekiana wakati anaweza tumia JF kumaliza kila kitu NI DALILI ZA UTAPELIMcheki kwa simu hapa mtu anaweka dondoo tu
PM tena!??Ac automatic voltage regulator 5000va
Model Andeli, Ni PM to chart
Simba dumu gage 30 futi 10 bando moja ni 260,000.
Ambazo zinakaa pcs 16.
Hizo za rangi zipo za 22,000 na kuendelea kulingana na kampuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapatikana wapi?Nawai siti nahitaji sana hivi vitu kama mbao , mbao mati, tiles , nondo kwa aliebakisha tutaongea vizuri na kukubaliana jinsi ya kumaliza haya masuala
Weka detailz za PC mkuuTuna laptop za kutosha aina ya HP baada ya research kumalizika. Wahi sasa, bei ni laki 3 kwa kila moja
Ahsante mkuu,
hizo za rangi inasemekana zipo zinazopauka na zisizopauka, hiyo huwa imekaaje kutambua mpauko na isiyompauko???