Wale watu wa kusini tukutane hapa sio kiukabila lakini lengo ni kufahamishana vituko vya kila mtu atokapo...
Mimi natoka nachingwea mjini. Zamani tulikuwa tunaenda kuogelea bwawani kwa Nammwela ..yani unaingia bwawani msafi lakini unatoka umebuka[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hvyo kuepuka hii tukawa tunabeba mafuta kabisa ya kupaka ili tusijulikane nyumbani..
Karibunii!!!!!
Mimi natoka nachingwea mjini. Zamani tulikuwa tunaenda kuogelea bwawani kwa Nammwela ..yani unaingia bwawani msafi lakini unatoka umebuka[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hvyo kuepuka hii tukawa tunabeba mafuta kabisa ya kupaka ili tusijulikane nyumbani..
Karibunii!!!!!