Naomba huu uzi utumike kuelezea maneno ya aina moja yenye maana moja kwa makabila tofauti tofauti mfano neno kuigota linapatikana katika makabila ya wakurya na wasukuma na lina maana moja ya kushiba
Neno kuhangua lipo katika makabila mawili ya wa
sukuma na wakurya na lina maana moja ya kuwahi
neno muramu linapatikana katika makabila ya waha,wajita,wahangaza & wanyarwanda na lina maana moja ya shemeji
neno ilinyiro linapatikana katika makabila mawili ya wakurya na wakikuyu na lina maana sawasawa ya pua
neno imyenda linapatikana katika makabila mawili ya wasukuma na wanyarwanda na lina maana sawasawa ya nguo
neno kujamya linapatikana katika makabila mawili ya wanyambo na waha na lina maana moja ya kulala
neno amazi linapatikana katika makabila ya wazanaki,wanyarwanda na waha na lina maana moja ya maji
neno karungi linapatikana katika makabila mawili ya kihaya na kiganda na lina maana moja ya kizuri
Neno kuhangua lipo katika makabila mawili ya wa
sukuma na wakurya na lina maana moja ya kuwahi
neno muramu linapatikana katika makabila ya waha,wajita,wahangaza & wanyarwanda na lina maana moja ya shemeji
neno ilinyiro linapatikana katika makabila mawili ya wakurya na wakikuyu na lina maana sawasawa ya pua
neno imyenda linapatikana katika makabila mawili ya wasukuma na wanyarwanda na lina maana sawasawa ya nguo
neno kujamya linapatikana katika makabila mawili ya wanyambo na waha na lina maana moja ya kulala
neno amazi linapatikana katika makabila ya wazanaki,wanyarwanda na waha na lina maana moja ya maji
neno karungi linapatikana katika makabila mawili ya kihaya na kiganda na lina maana moja ya kizuri