UZI MAALUM: Simba SC na Yanga SC; Utani , kumbukumbu na uhalisia wao!

UZI MAALUM: Simba SC na Yanga SC; Utani , kumbukumbu na uhalisia wao!

Uwanja wa Taifa ulizinduliwa na Stars Vs Uganda, ikapigwa gemu ya usiku na Stars ilishinda 1 kupitia ABDI KASSIM BABY ballack wa Unguja. Umeme ulikatika for several minutes huku tukipiga mayowe wanazindikaaaaa. So ukisema ulizinduliwa na Msumbiji sijakupata mkuu

Ntakuwa nimechanganya madesa, kuna mechi tulifungwa 1 bila na jamaa anaitwa Tiko au Tikotiko, hii ndo mechi ya kwanza mimi kuangalia pale uwanja wa Taifa nikijua ndo uzinduzi.

Thanks kwa kunikumbusha mkuu.
 
Uwanja wa Taifa ulizinduliwa na Stars Vs Uganda, ikapigwa gemu ya usiku na Stars ilishinda 1 kupitia ABDI KASSIM BABY ballack wa Unguja. Umeme ulikatika for several minutes huku tukipiga mayowe wanazindikaaaaa. So ukisema ulizinduliwa na Msumbiji sijakupata mkuu
Uko sahihi mkuu,hii mechi nilikuwepo.Nakumbuka picha ya baba Riz ilikuwa inaonekana pale kwenye screen watu wanashangilia.
 
IMG_20171027_202523.jpg
 
Marapap simba kapakatwa, mimi sio yanga though hahaha
 
Back
Top Bottom