Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
Uwanja wa Taifa ulizinduliwa na Stars Vs Uganda, ikapigwa gemu ya usiku na Stars ilishinda 1 kupitia ABDI KASSIM BABY ballack wa Unguja. Umeme ulikatika for several minutes huku tukipiga mayowe wanazindikaaaaa. So ukisema ulizinduliwa na Msumbiji sijakupata mkuu
Ntakuwa nimechanganya madesa, kuna mechi tulifungwa 1 bila na jamaa anaitwa Tiko au Tikotiko, hii ndo mechi ya kwanza mimi kuangalia pale uwanja wa Taifa nikijua ndo uzinduzi.
Thanks kwa kunikumbusha mkuu.